Eti wataalamu unawezaje kufanya hivyo? Maana kama una ukiba halafu ikatokea inflation labda ya 10%, basi asilimia kumi ya ukwasi wako inapotea. Mtu anawezaje kujilinda?
Inawezekana ushauri unatolewa kwa mtu mwenye hizi pesa zetu 20000/= Ni vema angesema ana sh ngapi ashauriwe kulingana na kiasi alichonacho.Lakini ushauri mnaoutoa hapa ni sawa na kuzungumza mwenyewe huku kinywa kikiwa kwenye mtungi.
Inawezekana ushauri unatolewa kwa mtu mwenye hizi pesa zetu 20000/= Ni vema angesema ana sh ngapi ashauriwe kulingana na kiasi alichonacho.Lakini ushauri mnaoutoa hapa ni sawa na kuzungumza mwenyewe huku kinywa kikiwa kwenye mtungi.