Unawezaje kumfanya mpenzi wako awe na Exposure?

Watoto utawafundisha wewe exposure zako hizo nae atawafundisha maadili
majukumu sinikusaidiana? na, je kunamkalifu? Unahisi we Hana anavyokuvumilia? Love is love bro kama unampenda usijivunge OA Itoshe tu kusema Mapungifu yake yanavumilika ✅✅
 
Pamoja mkuu , umesomeka vyema sana .
 
Ile sharp mind ya kawaida ,yaani huyu hata ukikaa nayeukidiscuss hoja shuleini kasahau kila kitu
Kwa hiyo ulitaka muwe mnajadili mambo ya Crebs cycle, how European undeveloped Africa, slave trades, reproduction etc etc mkuu? Mbona hayo mambo in real life ni meaningless and useless mkuu? Mimi nadhani unaweza kumchange kwenye key issues za maisha mfano namna ya uvaaji ili uendane na events, kumsaidia issues za mapishi kama hajui some food, Matumizi ya computer kama huwa unstunza kumbukumbu, Matumizi sahihi ya smartphone, general house keeping maana kuna wengine ni wachafu etc etc
 
Yupo vizuri kwenye matumizi ya Laptop , smartphones nk mkuu .
Nimekuelewa sana.
 
Natamani awe na Sharp mind ile ya kuwaza na Kufikiri
Labda nikukumbushe tu kuwa kuna kitu tunaita Intelligence Quotient (IQ) hii hutofautiana baina ya mtu na MTU haifanani kamwe, mtu hurithi ,ingawa mazingira ya nje (nurture) pia huchangia kwa kiasi kidogo wakati wa ukuaji wa mtoto especially vyakula mtoto anavyolishwa. Kwa hiyo usimlaumu kwa chochote na usimuone kama hafai kwa sababu sio kosa lake.
 
Hii haiwezi kuja kuwa na effect kwa watoto maana nasikia IQ inarithishwa kutoka kwa Mama ?
 
Hii haiwezi kuja kuwa na effect kwa watoto maana nasikia IQ inarithishwa kutoka kwa Mama ?
Sio kweli kwamba IQ inarithishwa kutoka kwa mama, Bali ni kutoka kwa mama na baba, kwahiyo kama baba IQ yake iko juu na mama iko chini waoane tu kibaya ni pale ambapo wote wangekua na IQ za chini
 
Sio kweli kwamba IQ inarithishwa kutoka kwa mama, Bali ni kutoka kwa mama na baba, kwahiyo kama baba IQ yake iko juu na mama iko chini waoane tu kibaya ni pale ambapo wote wangekua na IQ za chini
Nimekuelewa mkuu . Nahisi huyu wangu mazingira yamechangia kwa kiasi kikubwa sana.
 
Ukute huyo mpenzi wako anacheza na akili yako tu ili umuone mjinga kumbe wewe ndio mpumbavu, hakuna mwanamke lofa ata siku moja.
 
Ukute huyo mpenzi wako anacheza na akili yako tu ili umuone mjinga kumbe wewe ndio mpumbavu, hakuna mwanamke lofa ata siku moja.
umetoka nje ya mada. Halafu umeandika kama vile unamjua ????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…