Ubungo Mataa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2018
- 411
- 725
Ni kwel kabisa mwanamke akiwa na upwiru hata afya yake ya akili inakua haijakaa sawa.Kiburi ni ugonjwa wa akili ni ishu za tiba ya afya ya akili.
Hii ndio fungakazi na SIO unapiga mangumi unampiga kwa upande wa khanga2. Kipigo
Mpaka aseme meeeeeeeSi uliona shape(chura kubwaa) ndiyo kigezo muhimu, ukacompromise tabia, pambana ila mkuu umejaribu kuongea naye kwamba hupendezwi na hicho kiburi na anakujibuje?
Sio kweli kiburi ni tabia, ndo maana wanaume tunashauriwa kabla hujamuoa mtu chunguzaneni kwanza.Kuna watu wanadai eti hakuna mwanamke mwenye kiburi , eti kuna namna unambakisha na upwiru ndio maana anakua na kiburi.
Inawezekana nawewe unakiburi pia, yaani huna hata mboko? Kunywa bia uwe na hasiraHuu uzi hauna notes nyingi karibuni.
SureSio kweli kiburi ni tabia, ndo maana wanaume tunashauriwa kabla hujamuoa mtu chunguzaneni kwanza.
wewe unaongea kama mwanasaikolojia au kama mtoa maoni wa kawaida? Hujui kuwa kipigo ni njia ya kuchange behaviour na ipo ktk muongozo wa psychology na inatumika sehemu nyingi ikiwemo majumbani, shuleni, magerezani n.k! Japokuwa imepitwa na wakati badala yake anaweza kutumia njia nyingine zilizo bora kwa kumpa maumivu ya kisaikolojia na sio physical pain yaani simple tu kila anacho kipata kwa huyo mwanamke akitafute kwingine na am ignore hata akileta drama zake zote just ignore her kuwa kama vile hujari upo bize na mambo yako
Basi mbake tu mkuu...😎Mkazano utokea panapo upendo
Wasiwasi wangu ndio huu...Si uliona shape(chura kubwaa) ndiyo kigezo muhimu, ukacompromise tabia, pambana ila mkuu umejaribu kuongea naye kwamba hupendezwi na hicho kiburi na anakujibuje?
Mdogo wangu mi sifoki nimekutahadharisha. Hizo theories za kwenye mahusiano usiingie nazo kwenye ndoa. Kama umeshajua ni taasisi basi hakikisha na kwenye ndoa mnaishi kama taasisi inavyotakiwa kuendeshwa. Hiyo mentality uliyonayo unaangusha taasisi wewe.Punguza kisirani Broo,,,hujalazimishwa uliamua mwenyewe na huyo mwenzio Sana Pambana "Hilo Ndio Chaguo Lako"NDOA ni Taasisi,,NDOA si Harusi,,,Usitugombeze Tafaadhaalii Broo!!
Hakuna sehemu mimi nimekwambia umpige mwanamke. Nioneshe wapi nimesema umpige mwanamkeKwa nini umpige mwanamke
Uzi ufungweIts simple. Unamrudisha kwao akajifunze kua submissive.
Kwajinsi ulivo comment hii thread inaonyesha kabisa wewe hauna churaSi uliona shape(chura kubwaa) ndiyo kigezo muhimu, ukacompromise tabia, pambana ila mkuu umejaribu kuongea naye kwamba hupendezwi na hicho kiburi na anakujibuje?
Ni kweli kabisa mkuu sina na sina wivu😀Kwajinsi ulivo comment hii thread inaonyesha kabisa wewe hauna chura
Hii sio kweliKuna watu wanadai eti hakuna mwanamke mwenye kiburi , eti kuna namna unambakisha na upwiru ndio maana anakua na kiburi.
SawaHii sio kweli