NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,135
Hata mimi mkuu natamanigi kufahamu juu ya hili subiri wadau waje kutufafanuliaWakuu habarini za weekend!
Napenda kufahamu namna ya kutumia hii VPN kwenye simu ya Android maana naona kwenye setting za network ipo.
Pia nini faida zake kama nikiamua kuwa naitumia na inaweza kutumika kwenye WiFi au hata hizi internet za Halotel na Voda?
Nadhani umemaliza kila kitu na atakuwa amekuwelew.Mi ninayo VPN master app, niliipakua google.
Ili kuweka urahisi wa kuelewa kuanza tujue hii misamiati .
IP address - Ni namba pekee inayotambulisha kila kifaa cha mawasiliano katika mtandao, iwe ni simu,kompyuta,tablet.IP address huwa ni kitambulisho cha kifaa kimoja tu na huwa haijirudi kwa kifaa kingine. Ni sawa kabisa na alama za vidole zilivyo kwa binadamu! Ipo katika mfumo huu 23.651.98.201
VPN- Ni network server itumikayo ili kuongeza usalama na usiri pindi utumiapo mitandao ya jumuia.
Faida yake kubwa ni kukuficha ukiwa mtandaoni. Kinachofanyika ni kwamba VPN app inakusajili katika mtandao kutumia IP address tofauti kabisa na ile ambayo ndio halisi ya kifaa chako cha mawasiliano. Itaongopa IP address yako na nyingi huonesha kwamba unaingilia mtandao toka mahala tofauti kabisa na ulipo kihalisia.
Mfano:- Upo Mbeya Mwanjelwa, IP address yako halisi ni 23.651.98.201 utakapo install VPN master ukaanza kuitumia itakuwezesha kutumia IP address 45.802.10.150 ambayo ni tofauti na ile halisi na unaweza kuonekana unaingia katika mtandao toka Marekani, Norway,Mexico ama sehemu yoyote ya ulimwengu amabayo huduma hii inapatikana.
Faida za VPN:- Ukiwa unaitumia hii unajiachia utakavyo ukiwa mtandaoni maana usalama wako ni wa uhakika, unaweza hata kumuita yule diki uchwara killazer na hakutakuwa na ushahidi wa kuwezesha waungwana wa TCRA kukutia hatiani. Wakifanya tracing wataishia kupoteana maana taarifa zitakuwa hazikamiliki na watakuwa hawawezi kukugundua exactly muhusika ni nani maana sikuhizi servers za mitandao hutumia utaratibu wa Dynamic Host Control Protocol (DHCP) yani
Kila session utakayoingia mtandaoni utapewa IP address tofauti.
So naweza anza itumiaje mkuu yaan nikisha install mkuu na unaweza tupa maelekezo zaid jins ya kutumiaMi ninayo VPN master app, niliipakua google.
Ili kuweka urahisi wa kuelewa kuanza tujue hii misamiati .
IP address - Ni namba pekee inayotambulisha kila kifaa cha mawasiliano katika mtandao, iwe ni simu,kompyuta,tablet.IP address huwa ni kitambulisho cha kifaa kimoja tu na huwa haijirudi kwa kifaa kingine. Ni sawa kabisa na alama za vidole zilivyo kwa binadamu! Ipo katika mfumo huu 23.651.98.201
VPN- Ni network server itumikayo ili kuongeza usalama na usiri pindi utumiapo mitandao ya jumuia.
Faida yake kubwa ni kukuficha ukiwa mtandaoni. Kinachofanyika ni kwamba VPN app inakusajili katika mtandao kutumia IP address tofauti kabisa na ile ambayo ndio halisi ya kifaa chako cha mawasiliano. Itaongopa IP address yako na nyingi huonesha kwamba unaingilia mtandao toka mahala tofauti kabisa na ulipo kihalisia.
Mfano:- Upo Mbeya Mwanjelwa, IP address yako halisi ni 23.651.98.201 utakapo install VPN master ukaanza kuitumia itakuwezesha kutumia IP address 45.802.10.150 ambayo ni tofauti na ile halisi na unaweza kuonekana unaingia katika mtandao toka Marekani, Norway,Mexico ama sehemu yoyote ya ulimwengu amabayo huduma hii inapatikana.
Faida za VPN:- Ukiwa unaitumia hii unajiachia utakavyo ukiwa mtandaoni maana usalama wako ni wa uhakika, unaweza hata kumuita yule diki uchwara killazer na hakutakuwa na ushahidi wa kuwezesha waungwana wa TCRA kukutia hatiani. Wakifanya tracing wataishia kupoteana maana taarifa zitakuwa hazikamiliki na watakuwa hawawezi kukugundua exactly muhusika ni nani maana sikuhizi servers za mitandao hutumia utaratibu wa Dynamic Host Control Protocol (DHCP) yani
Kila session utakayoingia mtandaoni utapewa IP address tofauti.
Kwa sheria mpya ya mtandao vipi hii kitu imekaaje?Mi ninayo VPN master app, niliipakua google.
Ili kuweka urahisi wa kuelewa kuanza tujue hii misamiati .
IP address - Ni namba pekee inayotambulisha kila kifaa cha mawasiliano katika mtandao, iwe ni simu,kompyuta,tablet.IP address huwa ni kitambulisho cha kifaa kimoja tu na huwa haijirudi kwa kifaa kingine. Ni sawa kabisa na alama za vidole zilivyo kwa binadamu! Ipo katika mfumo huu 23.651.98.201
VPN- Ni network server itumikayo ili kuongeza usalama na usiri pindi utumiapo mitandao ya jumuia.
Faida yake kubwa ni kukuficha ukiwa mtandaoni. Kinachofanyika ni kwamba VPN app inakusajili katika mtandao kutumia IP address tofauti kabisa na ile ambayo ndio halisi ya kifaa chako cha mawasiliano. Itaongopa IP address yako na nyingi huonesha kwamba unaingilia mtandao toka mahala tofauti kabisa na ulipo kihalisia.
Mfano:- Upo Mbeya Mwanjelwa, IP address yako halisi ni 23.651.98.201 utakapo install VPN master ukaanza kuitumia itakuwezesha kutumia IP address 45.802.10.150 ambayo ni tofauti na ile halisi na unaweza kuonekana unaingia katika mtandao toka Marekani, Norway,Mexico ama sehemu yoyote ya ulimwengu amabayo huduma hii inapatikana.
Faida za VPN:- Ukiwa unaitumia hii unajiachia utakavyo ukiwa mtandaoni maana usalama wako ni wa uhakika, unaweza hata kumuita yule diki uchwara killazer na hakutakuwa na ushahidi wa kuwezesha waungwana wa TCRA kukutia hatiani. Wakifanya tracing wataishia kupoteana maana taarifa zitakuwa hazikamiliki na watakuwa hawawezi kukugundua exactly muhusika ni nani maana sikuhizi servers za mitandao hutumia utaratibu wa Dynamic Host Control Protocol (DHCP) yani
Kila session utakayoingia mtandaoni utapewa IP address tofauti.
Ukifanikiwa nijulishe mkuu, nilijaribu nikashindwaKutokana na ugumu wa maisha leo siku ya pili nipo mtandaoni natafuta njia za kupita kwenye ganda la ndizi aka kula kitola.
Nimeona VPN imehusishwa kwenye kupata intaneti ya bure, ingawa sina hakika kama inawezekana kwa nchi yetu.
Bado naendelea kuchimbua chimbua ili niachane na kuunga vifurushi.
Weka hapa jina la hiyo app tafadhali mkuu.Mi ninayo VPN master app, niliipakua google.
Ili kuweka urahisi wa kuelewa kuanza tujue hii misamiati .
IP address - Ni namba pekee inayotambulisha kila kifaa cha mawasiliano katika mtandao, iwe ni simu,kompyuta,tablet.IP address huwa ni kitambulisho cha kifaa kimoja tu na huwa haijirudi kwa kifaa kingine. Ni sawa kabisa na alama za vidole zilivyo kwa binadamu! Ipo katika mfumo huu 23.651.98.201
VPN- Ni network server itumikayo ili kuongeza usalama na usiri pindi utumiapo mitandao ya jumuia.
Faida yake kubwa ni kukuficha ukiwa mtandaoni. Kinachofanyika ni kwamba VPN app inakusajili katika mtandao kutumia IP address tofauti kabisa na ile ambayo ndio halisi ya kifaa chako cha mawasiliano. Itaongopa IP address yako na nyingi huonesha kwamba unaingilia mtandao toka mahala tofauti kabisa na ulipo kihalisia.
Mfano:- Upo Mbeya Mwanjelwa, IP address yako halisi ni 23.651.98.201 utakapo install VPN master ukaanza kuitumia itakuwezesha kutumia IP address 45.802.10.150 ambayo ni tofauti na ile halisi na unaweza kuonekana unaingia katika mtandao toka Marekani, Norway,Mexico ama sehemu yoyote ya ulimwengu amabayo huduma hii inapatikana.
Faida za VPN:- Ukiwa unaitumia hii unajiachia utakavyo ukiwa mtandaoni maana usalama wako ni wa uhakika, unaweza hata kumuita yule diki uchwara killazer na hakutakuwa na ushahidi wa kuwezesha waungwana wa TCRA kukutia hatiani. Wakifanya tracing wataishia kupoteana maana taarifa zitakuwa hazikamiliki na watakuwa hawawezi kukugundua exactly muhusika ni nani maana sikuhizi servers za mitandao hutumia utaratibu wa Dynamic Host Control Protocol (DHCP) yani
Kila session utakayoingia mtandaoni utapewa IP address tofauti.
Kuitumia ni rahisi hasa kwa kupitia simu, kila VPN host huwa anatoa IP address za nchi tofauti tofauti.So naweza anza itumiaje mkuu yaan nikisha install mkuu na unaweza tupa maelekezo zaid jins ya kutumia
Inaitwa "VPN master"Weka hapa jina la hiyo app tafadhali mkuu.
Kwa sheria mpya ya mtandao hii imekaa kama chenga ya mwili kwa TCRA.Kwa sheria mpya ya mtandao vipi hii kitu imekaaje?
Ivi unawezaje kutumia VPN app kutumia social network hata kama TCRA wamezima mitambo yao kwa muda kama walinvyozimiwaga uganda kipindi cha uchaguziMi ninayo VPN master app, niliipakua google.
Ili kuweka urahisi wa kuelewa kuanza tujue hii misamiati .
IP address - Ni namba pekee inayotambulisha kila kifaa cha mawasiliano katika mtandao, iwe ni simu,kompyuta,tablet.IP address huwa ni kitambulisho cha kifaa kimoja tu na huwa haijirudi kwa kifaa kingine. Ni sawa kabisa na alama za vidole zilivyo kwa binadamu! Ipo katika mfumo huu 23.651.98.201
VPN- Ni network server itumikayo ili kuongeza usalama na usiri pindi utumiapo mitandao ya jumuia.
Faida yake kubwa ni kukuficha ukiwa mtandaoni. Kinachofanyika ni kwamba VPN app inakusajili katika mtandao kutumia IP address tofauti kabisa na ile ambayo ndio halisi ya kifaa chako cha mawasiliano. Itaongopa IP address yako na nyingi huonesha kwamba unaingilia mtandao toka mahala tofauti kabisa na ulipo kihalisia.
Mfano:- Upo Mbeya Mwanjelwa, IP address yako halisi ni 23.651.98.201 utakapo install VPN master ukaanza kuitumia itakuwezesha kutumia IP address 45.802.10.150 ambayo ni tofauti na ile halisi na unaweza kuonekana unaingia katika mtandao toka Marekani, Norway,Mexico ama sehemu yoyote ya ulimwengu amabayo huduma hii inapatikana.
Faida za VPN:- Ukiwa unaitumia hii unajiachia utakavyo ukiwa mtandaoni maana usalama wako ni wa uhakika, unaweza hata kumuita yule diki uchwara killazer na hakutakuwa na ushahidi wa kuwezesha waungwana wa TCRA kukutia hatiani. Wakifanya tracing wataishia kupoteana maana taarifa zitakuwa hazikamiliki na watakuwa hawawezi kukugundua exactly muhusika ni nani maana sikuhizi servers za mitandao hutumia utaratibu wa Dynamic Host Control Protocol (DHCP) yani
Kila session utakayoingia mtandaoni utapewa IP address tofauti.
nitakujulisha nitakapofikiaUkifanikiwa nijulishe mkuu, nilijaribu nikashindwa
Teh teh tehInaitwa "VPN master"
Mbona umebatasamu mkuuTeh teh teh
Imesomeka.Mbona umebatasamu mkuu