Unawezaje kutumia VPN kwenye simu ya Android? Nini faida zake?

Ivi unawezaje kutumia VPN app kutumia social network hata kama TCRA wamezima mitambo yao kwa muda kama walinvyozimiwaga uganda kipindi cha uchaguzi
Jibu la swali lako ni ndio, unaweza tumia social net ambayo itafungiwa bongo kwa sever za nchi nyingine.
 
Jibu la swali lako ni ndio, unaweza tumia social net ambayo itafungiwa bongo kwa sever za nchi nyingine.
Na jinsi ya kuunga bundle utakuwa unaungaje mkuu wakati hapa tz watakuwa wamefunga mkuu ebu tuelezee kwa mapana kidogo mkuu kama hutojari
 
nsaidie hiyo app
 
Kwa hiyoo unatumiaa ukiwa unatumiaa net ya kawaida au wife?
 
Asante kwa maelekezo, naomba kujua namna ya kuitumia, je ni pale unapoifungua tu automatic inaanza kufanya kazi?
Kuna moja inaitwa PSIPHON PRO. Jamaa alinieleza hata kama ukienda nchi waliozuia mitandao ya kijamii kama China waweza ku run app hiyo na kupata acces.
Tatizo sijapata maelekezo ya kutosha namna ya kuitumia. Naomba maelekezo pls.
 
Hio psiphon pro ushaidownload?
 
Hio psiphon pro ushaidownload?
mkuu nimeshainstall VPN MASTER, kwahyo nikishaifungua ndio tayari inafanya kazi automatiki au???

maana nimeopen nikaweka sever ya France, so naweza fungua whatsapp au operamini kupitia hyo VPN master??


swali; Kama Tcra wamezima internet yaan aaccess vip sasa au nikishaifungua tu na server ikiwa France tayari inanipa internet??
 
Na jinsi ya kuunga bundle utakuwa unaungaje mkuu wakati hapa tz watakuwa wamefunga mkuu ebu tuelezee kwa mapana kidogo mkuu kama hutojari
Kujiunga bundle ni jambo moja na kufungua internet ni jambo jingine.
Mfano tcra wakifungia fb haimaanishi jf haitifanya kazi.
Hivyo basi ili kuweza kutumia fb ikiwa imefungiwa hapo sasa inakubidi utumia sever za kukuonesha upo nchi fulani ambapo huko fb haijafungiwa.
 
Vpn Master haikufanyi utumie internet bure mkuu bali. Ina kuficha ktk nchi uliyo chagua yani ukifanya jambo lolote kwenye mtandao tcra wakisema wakufuatilie wataona upo france wakati upo tz.
 
Ivi unawezaje kutumia VPN app kutumia social network hata kama TCRA wamezima mitambo yao kwa muda kama walinvyozimiwaga uganda kipindi cha uchaguzi
Now you've hit the nail,nilijua tu lengo ni hili.
 
Zamani kwenye hili jukwaa 2013 kushuka chini VPN ilikuwa inatumika kwa ajili ya free unlimited internet pale ambapo open ports zinajuwepo kwenye mitandao husika, kwa sasa tricks nyingi haziwekwi wazi tena, kwa hiyo VPN inakusaidia tu kuficha IP yako na kukupa IP nyingine hivyo kifaa chako kinaonekana kipo kwenye nchi nyingine. Kwa mfano kuna baadhi ya website wanaonyesha drama za wakorea huwa wanalimit bAadhi ya nchi hivyo ukiwa na VPN ukaweka server za nchi ambazo na hiyo huduma ipo basis na wewe utaweza kuwa na access na hiyo huduma.[/QUOTE]
 
Naombeni hiyo nembo ya VPN master, nazicheki zipo nyingi hapa zinanichanganya
 
[/QUOTE]
Asante mkuu hapa nimekuelewa vizuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…