Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,158
- 1,746
Kumbe hai-access jf, vp unapotumia unatakiwa kuwa na account mpya?Mi nilitumia ila WhatsApp na Facebook call hazikubali, na pia JF app (sio web) haisomi mpaka niondoe ufunguo wa pale juu....nini tatizo?
ingia playstore downlod apk inaitwa your freedom vpn af ntakpa maekekezo jins ya ktumiaKutokana na ugumu wa maisha leo siku ya pili nipo mtandaoni natafuta njia za kupita kwenye ganda la ndizi aka kula kitola.
Nimeona VPN imehusishwa kwenye kupata intaneti ya bure, ingawa sina hakika kama inawezekana kwa nchi yetu.
Bado naendelea kuchimbua chimbua ili niachane na kuunga vifurushi.
Hii app inategemea na version ya android unayotumia. Ilikuwa released kwa android 4+ ila kuna baadhi ya functions haikuwekewa support mfano hotspot tethering huwa haikubaligi ukiwa on VPN. Hio case yako pia inakuwa miongoni mwa walakini wa hii app.Mi nilitumia ila WhatsApp na Facebook call hazikubali, na pia JF app (sio web) haisomi mpaka niondoe ufunguo wa pale juu....nini tatizo?
Huna haja ya account nyengine. Matumizi hasa ni ya kwenye browser ya simu hivyo facebook salama ni ya kupitia browser n.k!Kwahiyo ukishaweka vpn inabidi ufungue na account nyingine za mitandao? Je vpn inaweza inafanya kazi kwenye browser tu au hata app kama hii ya jf? Vipi kuhusu free VPN nzuri na ubora wake, na unawezaje kuwa na uhakika kwamba uko safe baada ya kuinstall VPN?
Cc: CHIEF MKWAWA, Mwl. Rct, Njunwa wa mavoko.
Tayari mkuu nishaidownloadingia playstore downlod apk inaitwa your freedom vpn af ntakpa maekekezo jins ya ktumia
Aaaah hongera mkuu uko vizuriMi ninayo VPN master app, niliipakua google.
Ili kuweka urahisi wa kuelewa kuanza tujue hii misamiati .
IP address - Ni namba pekee inayotambulisha kila kifaa cha mawasiliano katika mtandao, iwe ni simu,kompyuta,tablet.IP address huwa ni kitambulisho cha kifaa kimoja tu na huwa haijirudi kwa kifaa kingine. Ni sawa kabisa na alama za vidole zilivyo kwa binadamu! Ipo katika mfumo huu 23.651.98.201
VPN- Ni network server itumikayo ili kuongeza usalama na usiri pindi utumiapo mitandao ya jumuia.
Faida yake kubwa ni kukuficha ukiwa mtandaoni. Kinachofanyika ni kwamba VPN app inakusajili katika mtandao kutumia IP address tofauti kabisa na ile ambayo ndio halisi ya kifaa chako cha mawasiliano. Itaongopa IP address yako na nyingi huonesha kwamba unaingilia mtandao toka mahala tofauti kabisa na ulipo kihalisia.
Mfano:- Upo Mbeya Mwanjelwa, IP address yako halisi ni 23.651.98.201 utakapo install VPN master ukaanza kuitumia itakuwezesha kutumia IP address 45.802.10.150 ambayo ni tofauti na ile halisi na unaweza kuonekana unaingia katika mtandao toka Marekani, Norway,Mexico ama sehemu yoyote ya ulimwengu amabayo huduma hii inapatikana.
Faida za VPN:- Ukiwa unaitumia hii unajiachia utakavyo ukiwa mtandaoni maana usalama wako ni wa uhakika, unaweza hata kumuita yule diki uchwara killazer na hakutakuwa na ushahidi wa kuwezesha waungwana wa TCRA kukutia hatiani. Wakifanya tracing wataishia kupoteana maana taarifa zitakuwa hazikamiliki na watakuwa hawawezi kukugundua exactly muhusika ni nani maana sikuhizi servers za mitandao hutumia utaratibu wa Dynamic Host Control Protocol (DHCP) yani
Kila session utakayoingia mtandaoni utapewa IP address tofauti.
Inakusaidia kutumia network unayotaka pale unapokuwa mfano nje ya nchi,VPN. Itakusaidia kua access ntwk ya nyumbani hata kama upon marekaniWakuu habarini za weekend!
Napenda kufahamu namna ya kutumia hii VPN kwenye simu ya Android maana naona kwenye setting za network ipo.
Pia nini faida zake kama nikiamua kuwa naitumia na inaweza kutumika kwenye WiFi au hata hizi internet za Halotel na Voda?
Tayari umeshaharibuDownloads hii MK ANDROID VPN then install piga 0717545762 upewe user name na password.Tumia line ya zantel au TTCL .kuna malipo 13,000 per month,ni unlimited.
You will be payed for using this appDownloads hii MK ANDROID VPN then install piga 0717545762 upewe user name na password.Tumia line ya zantel au TTCL .kuna malipo 13,000 per month,ni unlimited.
Downloads hii MK ANDROID VPN then install piga 0717545762 upewe user name na password.Tumia line ya zantel au TTCL .kuna malipo 13,000 per month ni unlimited.
Mi ninayo VPN master app, niliipakua google.
Ili kuweka urahisi wa kuelewa kuanza tujue hii misamiati .
IP address - Ni namba pekee inayotambulisha kila kifaa cha mawasiliano katika mtandao, iwe ni simu,kompyuta,tablet.IP address huwa ni kitambulisho cha kifaa kimoja tu na huwa haijirudi kwa kifaa kingine. Ni sawa kabisa na alama za vidole zilivyo kwa binadamu! Ipo katika mfumo huu 23.651.98.201
VPN- Ni network server itumikayo ili kuongeza usalama na usiri pindi utumiapo mitandao ya jumuia.
Faida yake kubwa ni kukuficha ukiwa mtandaoni. Kinachofanyika ni kwamba VPN app inakusajili katika mtandao kutumia IP address tofauti kabisa na ile ambayo ndio halisi ya kifaa chako cha mawasiliano. Itaongopa IP address yako na nyingi huonesha kwamba unaingilia mtandao toka mahala tofauti kabisa na ulipo kihalisia.
Mfano:- Upo Mbeya Mwanjelwa, IP address yako halisi ni 23.651.98.201 utakapo install VPN master ukaanza kuitumia itakuwezesha kutumia IP address 45.802.10.150 ambayo ni tofauti na ile halisi na unaweza kuonekana unaingia katika mtandao toka Marekani, Norway,Mexico ama sehemu yoyote ya ulimwengu amabayo huduma hii inapatikana.
Faida za VPN:- Ukiwa unaitumia hii unajiachia utakavyo ukiwa mtandaoni maana usalama wako ni wa uhakika, unaweza hata kumuita yule diki uchwara killazer na hakutakuwa na ushahidi wa kuwezesha waungwana wa TCRA kukutia hatiani. Wakifanya tracing wataishia kupoteana maana taarifa zitakuwa hazikamiliki na watakuwa hawawezi kukugundua exactly muhusika ni nani maana sikuhizi servers za mitandao hutumia utaratibu wa Dynamic Host Control Protocol (DHCP) yani
Kila session utakayoingia mtandaoni utapewa IP address tofauti.