Unawezaje kutumia VPN kwenye simu ya Android? Nini faida zake?

Mi nilitumia ila WhatsApp na Facebook call hazikubali, na pia JF app (sio web) haisomi mpaka niondoe ufunguo wa pale juu....nini tatizo?
Kumbe hai-access jf, vp unapotumia unatakiwa kuwa na account mpya?
 
ingia playstore downlod apk inaitwa your freedom vpn af ntakpa maekekezo jins ya ktumia
 
Mi nilitumia ila WhatsApp na Facebook call hazikubali, na pia JF app (sio web) haisomi mpaka niondoe ufunguo wa pale juu....nini tatizo?
Hii app inategemea na version ya android unayotumia. Ilikuwa released kwa android 4+ ila kuna baadhi ya functions haikuwekewa support mfano hotspot tethering huwa haikubaligi ukiwa on VPN. Hio case yako pia inakuwa miongoni mwa walakini wa hii app.
 
Huna haja ya account nyengine. Matumizi hasa ni ya kwenye browser ya simu hivyo facebook salama ni ya kupitia browser n.k!
 
Mtandao dhahania wa
kibinafsi
Mtandao dhahania wa kibinafsi (VPN) ni
mtandao wa kompyuta ambao baadhi ya
viungo katikati mwa vitengo hubebwa kwa
unganisho lililowazi au mzungusho wa
dhahania katika baadhi ya mitandao mikubwa
(kwa mfano, wavuti) badala ya nyaya halisi.
Itifaki za tabaka la kiungo cha data cha
mtandao dhahania zinasemekana kupitishwa
kwa mtandao mkubwa zikiwa katika mandhari
haya. Mojawapo ya utendaji ni mawasiliano
yaliyo salama kupitia kwa mtandao wa umma,
lakini hamna haja VPN kuwa na vipengele vya
usalama , kama vile uthibitishaji au usimbaji
fiche wa maudhui. VPN, kwa mfano, inaweza
kutumika kutofautisha mfuatano wa watumiaji
wa jamii tofauti juu ya msingi wa mtandao na
vipengele vya usalama.

VPN yaweza kuwa na utendaji wa juhudi-bora,
au yaweza kuwa na kiwango maalumu cha
huduma cha mkataba wa (SLA) kati ya mteja
wa VPN na mtoa huduma wa VPN. Kwa jumla,
VPN ina topolojia kubwa zaidi kuliko ncha-
kwa-ncha.

VPN inaruhusu watumiaji wa kompyuta
kuonekana kuhakiki kutoka kwa eneo la
anwani ya IP mbali na ile halisi
waliounganishwa nayo kwa mtandao.

CC wikimedia
 
Aaaah hongera mkuu uko vizuri
 
Nahisi ungetumia english ndio ningekuelewa.....kweli kiswahili sikijui
 
Inakusaidia kutumia network unayotaka pale unapokuwa mfano nje ya nchi,VPN. Itakusaidia kua access ntwk ya nyumbani hata kama upon marekani
 
Downloads hii MK ANDROID VPN then install piga 0717545762 upewe user name na password.Tumia line ya zantel au TTCL .kuna malipo 13,000 per month,ni unlimited.
 
Downloads hii MK ANDROID VPN then install piga 0717545762 upewe user name na password.Tumia line ya zantel au TTCL .kuna malipo 13,000 per month,ni unlimited.
Tayari umeshaharibu
 

Umesomeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…