Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Hajaniambia bana, alikuwa anaongea na half american mi nikachomekea kiutaniKwamba amekuambia anatoa kote kote
Doh nyie watu mna roho ngumu,unawezaje kuvumilia muda wote huo aiseee😳Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife.
Ushauri wenu tafadhali
Anaa allege na condom muulize Alisha itumia wapiNamaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife.
Ushauri wenu tafadhali
Mkuu msema ukweli ni mpenzi wa Mungu, mwanamke akijifungua ni miezi mitatu mpaka sita, ndo hutakiwi kumgusa, baada ya hapo kukiwa na sababu zozote isipokuwa za ugonjwa hapo unapigwa, at mtoto afikishe miaka miwili? ok kondom hataki, dawa za uzazi hataki, hata kutumia kalenda(natural) hawezi??Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife.
Ushauri wenu tafadhali
Litakuwepo sio uongo😀Huenda Kuna Jini mahaba Kati yenu
Tafuta mke uoe.Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife.
Ushauri wenu tafadhali
Una uhakika mkeo anakula chakula kila siku na afya yake ikoje ? Ikiwa hali chakula basi no haki yake kukosa hisia na kusema hivyo Ila Kama anakula kanoe panga mtafute mgoni wako umkate kichwa.Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife.
Ushauri wenu tafadhali
Ulikuwa ujui hiyo ndio kuitwa cheti kwanza mitihani baadae sasa hiyo ndiyo mitihani sasa.Duuu! Kumbe hata ukioa kuna kupangiana tena? 🤔
mkuu huyo mtoto sio wako n amkeo anampenda sana jamaa aliempa mimba ndio maana hataki kuharibu mtoto mm mke wangu ananipa mpka mm naogopa mwenyewe nikiangalia tumbo kubwaaa iweje akuambie ujinga kama huo na kila njia anakataa.... pole sana asee jitahidi utafute mwanamke atakayekukubali kwa hali yakoNamaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife.
Ushauri wenu tafadhali
Nakazia kwenye DNAAnza na kupima DNA huyo mtoto kwanza, chances are sio wa kwako pia.
Ila kama una uvumilivu endelea kuvumilia wakati wenzio wanatindua. In short kuna mwamba anaseviwa yote bila kubakisha.