Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie watu mna matatizo sana kuumanisha vitu ambavyo hamuelewi vimeanzia wapi 😏Yani umemkazia hadi aibu naona mimi😆😆
Sasa ona👆 halafu unasema nina kichaa😂Ndio au Cha karanga😂
[emoji848][emoji848]Wanaume wanatia huruma humo kwenye ndoa balaa
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKOdronedrake Intelligent businessman njooni humu chapu ushauri ubahitajika
Bro what's your name again??Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife.
Ushauri wenu tafadhali
Pole sana mkuu.Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife.
Ushauri wenu tafadhali
Hahaaaaa C:C Mahondaw ona mme wako anavyocomment.Sasa umeleta uzi wa nini kama mkeo hakupi nyapu na huwezi kuwa na mcheps...
Piga nyeto basi shubamitiiii
Ndoa zimekuwa kuzungumkuti.... 😁Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife.
Ushauri wenu tafadhali
Mimi ni Baba wa watoto 4. Kwa mtoto wetu wa Mwisho Glory. Nilikuwa nakula mambo hadi keshokutwa amejifungua. Dada yake kamuuguza na baada ya siku 21, kanipa. Baada ya siku 42 kaenda kufunga kizazi. Jamaa sidhani hata kama huyo mtoto ninwake, anachapiwa dogo.Pole sana mkuu.
Umepigwa siasa ukaamini kabisa.
Baada ya miezi 2 tu nilikuwa uwanjani na hakuna kilichoharibika. Ni umakini tu wa kuzingatia kalenda
Kwa sababu watoto wadogo wanaoana kwa kuendeshwa na nyege mshindo mkuu. Ndoa ni kitu kizuri na wala hakina changamoto yoyote ile.Ndoa zimekuwa kuzungumkuti.... 😁
Lamomy siku mchukilia serious nilihisi ana mtania half America sasa huyo Lamomy athibitishe yeye ndio alioe onge kwanza sina muda wa kupigizana kelele na mtu asiejielewa sielewi 😒 una fight nini mpka sasa Kama huna hela ya dinner sema tu nikutumie maana masikini kama wewe wahitaji ufadhili sio ziada.Kama nina kichaa basi subiri Lamomy athibitishe!
Simkazi Mke Wangu TrophyBro what's your name again??
You deserve an award!!!!!
Nawaza jina la tuzo...litakuwaje