Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Yani umemkazia hadi aibu naona mimi😆😆Kwanini nmefanyaje 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani umemkazia hadi aibu naona mimi😆😆Kwanini nmefanyaje 😂
Kawaida sidhani kama ana maanisha ila kwangu kisamvu hakifai na hakiliki.Yani umemkazia hadi aibu naona mimi😆😆
Sipo Niko zangu Mwanza nakula maishaBado upo shy town?
Si Kwa sababu Kuna wanawake wengine au?Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife.
Ushauri wenu tafadhali
Huyo sio mke wako ni dada akoNamaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife.
Ushauri wenu tafadhali
We asikuzingue, ni yeye tu!Mimi ni muumini wa kuoa, na kutengeneza familia imara, na nitaoa. Ilabnyuzi kama hizi huwa zinaturusha nyuma wakuu. Ni kweli mnataka ushauri ila kuna sisi wengine mnatuvunja mioyo. Tunaona huko kwenye ndoa kuna kuteseka tu.
Nasema kuteseka kwa sababu hio naiona drama kama drama tunazokutana nazo kwa vibinti vya kitaa. Kikiwa hakikutaki kinakua na visingizio vingi sana.
Huyo mkeo mkuu bila kupepesa macho kuna mtu anamla kama sivyo basi utakua na bahati ila jua kuwa umepoteza mvuto kwake. Yaan hahisi chochote kwako.
Pole sana mkuu.
Kumbe wanaume wastaarabu bado wapo,Endelea na moyo hyo huo kaka usichokeNamaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife.
Ushauri wenu tafadhali
Jamaa yako Alitakiwa azae na mchepuko Kisha awalete watoto mke aleeKuna jamaa yangu wa karibu sana aliletewa ishu kama hizo, alichofanya akatafuta zake mchepuko Kawa anajipigia akirudi nyumbani anamchora tu wife wake maisha yakasonga bila shida