Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka miwili bila sex na bado unamuita ni mke wako?Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani ?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife
Ushauri wenu tafadhali
DuhUnachapiwa na imesababisha kapoteza hisia na wewe. Hata mtoto uenda si wako
Anadai atapata ujauzito mwingine mtoto angali mdogo hapa tunafanyajeNdoa ya kikristo hiyo au sio!!?
Cheti kinampa kiburi si ndio!!?
Hakuna aliewahi hukumiwa na Mungu Lisa mitara kama TU unatenda haki Kwa wote!!
Ndio maana yakobo mitara Hadi akazaa taifa takatifu la israel!!!
Oa tu mkuu!!
Moja ya njia ya kuzuia mimba kuingia ni kunyonyesha Kwa sana!!Anadai atapata ujauzito mwingine mtoto angali mdogo hapa tunafanyaje
Nimpe hongera shemeji, kwa vigezo vya dini ya kikristo tendo la ndoa ni kwa ajili ya uzazi tu, huchapiwi kaka ,uwe na amani, 😆😆😆Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi
Shida kubwa ni kifungo
Mke nyapu hakupi. Na ruhusa ya kuwa na mchepuko hakupi.
Yaani anakaba kote kote
Kwani wewe huwezi kudhibiti mkeo asipate ujauzito bila yeye kutumia vidonge au sindano?. Masuali mengine allitakiwa aulize kijana wa miaka 18 sio wewe mwenye mke. Tatizo mnakimbilia ndoa huku akili zenu zikiwa bado hazikpevuka. Lamomy njoo umshauri mpwa wako huku maana nae anaonekana nikijana wa kanisani au msikitini maadili kama yote.Anadai atapata ujauzito mwingine mtoto angali mdogo hapa tunafanyaje
Hajaamua zipo njia za asili wala hazina madhara ila nikupe kongole miaka 2, Unapepo yako Kama ni kweli.Anadai atapata ujauzito mwingine mtoto angali mdogo hapa tunafanyaje
Kuna mke huwa anatoa ruksa ya kuwa na mchepuko?
Unahisi haiwezekani?Hajaamua zipo njia za asili wala hazina madhara ila nikupe kongole miaka 2, Unapepo yako Kama ni kweli.
Kuna huyo jamaa alinyimwa alimbaka mkewe 🤭Mwanamke wangu aninyime vyote ila sio tendo tena kwa muda mrefu 😬