Dunia hii imejaa vituko sana hata huwezi kuamini, hivi na wewe unahesabu una mke!Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani ?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife
Ushauri wenu tafadhali
Wewe kisamvu unatoa?Kama umependwa wala wamsumbuani wapewa tu hadi kisamvu
Mmmπ€£π€£π€£ Wee sio Mimi
Mimi baada ya siku moja dozi, sinaga mbambambaa
Ww unamuamini?? Kabisaa anaweza kukaa mwaka na miezi asinyandue.?? πππDadavua bas
Ndiyo kashaweza sasa!Ww unamuamini?? Kabisaa anaweza kukaa mwaka na miezi asinyandue.?? πππ
Haya jirani Half american ushindwe ww mpk kisamvu wapewa atiiii π€£π€£π€£π€£Kama umependwa wala wamsumbuani wapewa tu hadi kisamvu
Hutaki hiyo vipi jirani na mtoto wa kiarabu bi suhe kakubariki π€£π€£π€£π€£Kisamvu hapana sitaki
Mmmm umetukanaaaaHaya jirani Half american ushindwe mpk kisamvu wapewa atiiii π€£π€£π€£π€£
Kmmk JF kuna vichwa vimepinda
MmmHutaki hiyo vipi jirani na mtoto wa kiarabu bi suhe kakubariki π€£π€£π€£π€£
Mwambie utamwaga njee,,πππNamaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani ?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife
Ushauri wenu tafadhali
Wapi? ππππMmmm umetukanaaaa
KmmkWapi? ππππ
Sasa hiyo si kifupi cha kilo mita mia kenda ππππKmmk
Kmmk wewe msngSasa hiyo si kifupi cha kilo mita mia kenda ππππ
No conjugal right, No marriageNamaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani ?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife
Ushauri wenu tafadhali