Unawezaje kuvumilia miaka 2 bila sex kwa mke wako

Unawezaje kuvumilia miaka 2 bila sex kwa mke wako

Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex

Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa

Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani ?

Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife

Ushauri wenu tafadhali
Dunia hii imejaa vituko sana hata huwezi kuamini, hivi na wewe unahesabu una mke!
 
Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex

Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa

Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani ?

Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife

Ushauri wenu tafadhali
Mwambie utamwaga njee,,😆😆😆
 
Mimi ni muumini wa kuoa, na kutengeneza familia imara, na nitaoa. Ilabnyuzi kama hizi huwa zinaturusha nyuma wakuu. Ni kweli mnataka ushauri ila kuna sisi wengine mnatuvunja mioyo. Tunaona huko kwenye ndoa kuna kuteseka tu.

Nasema kuteseka kwa sababu hio naiona drama kama drama tunazokutana nazo kwa vibinti vya kitaa. Kikiwa hakikutaki kinakua na visingizio vingi sana.

Huyo mkeo mkuu bila kupepesa macho kuna mtu anamla kama sivyo basi utakua na bahati ila jua kuwa umepoteza mvuto kwake. Yaan hahisi chochote kwako.

Pole sana mkuu.
 
Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex

Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa

Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani ?

Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife

Ushauri wenu tafadhali
No conjugal right, No marriage
 
Back
Top Bottom