Depth ya mnyanduoKwa hilo swali lako unataka kuvumbua nini?π
[emoji1787][emoji1787]Na huyo mkewe ni wewe, msitunyime tafadhali.
Acha maswali ya kijinga, sio lazima atumie madawa, tumia kalenda kuhesabu siku tena wanawake wako vizuri kwenye hili labda aamue tu kupuuzia.Kama ipi mkuu
we mubaba hujalogwa kweli wewe?? Hebu piga piga kichwa hiko.. Eeh unasikia nini. Aa tayari usharongwa mana si kwa upumbavu ulionaoShida kubwa ni kifungo
Mke nyapu hakupi. Na ruhusa ya kuwa na mchepuko hakupi.
Yaani anakaba kote kote
miez mi 3 yote hiyo wengine siku 45 ndio kitaarabu imekaa hivyoWengine wanaanza kupiga mtoto akifikisha miez 3, wewe unasubiri miaka 2?. Kwani huwezi tembea nae akiwa siku ambazo sio za hatari?.
Namaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani ?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife
Ushauri wenu tafadhali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Miaka miwili asee bila kurusha wareno!? Hata kama ni jela unaweza ukajifanya maradona mkononi!
Kama haupendi maneno mingi tafuta mama ingine ufurahie uanaume wako
Mwanaume bila kudinya unaweza geuka upinde
Hili lipo sana mkuu ndo maana Wazee wetu wa Zamani walikuwa na mitara. Sisi waoga tunafata mifumo ya Wazungu.Hili lipo sana ila huyu kaamua tu kufunguka
Kuna huyo jamaa alinyimwa alimbaka mkewe
DNA zihusike hapoNamaliza mwaka na miezi kadhaa bila sex kutoka kwa mke wangu, ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba tuache kusex na akajifungua, Sasa mwaka umeisha tangu tuacha kusex
Mtoto ana mwaka na miezi kadhaa lakini wife anadai hatuwezi kusex kwa sababu atapata ujauzito mwingine nikamuuliza unaona tuanze kuanzia lini akasema bora mtoto afikishe miaka miwili
Nilipomwambia atumie uzazi wa mpango akadai unaharibu mwili na kusababisha magonjwa
Nilipomwambia tutumie kondomu anadai ana allergies na kondom na hawezi kutumia..
Najiuliza hivi nyie mlio katika ndoa hili swala huwa mnalifanyaje au mnasubiri miaka miwili kweli au mnatumia njia gani ?
Muda mwingine nawaza kuwa na mchepuko lakini naona ni dhambi kumsaliti wife
Ushauri wenu tafadhali
Jirani tupo kwaresma ujue πHutaki hiyo vipi jirani na mtoto wa kiarabu bi suhe kakubariki π€£π€£π€£π€£
Jirani kazi unaifanya vyema kabisa kumbe nilipewa πHaya jirani Half american ushindwe ww mpk kisamvu wapewa atiiii π€£π€£π€£π€£
Kmmk JF kuna vichwa vimepinda
kwahiyo nioe anaeninyima miaka 2?Ukioa huyo jua kuanzia 45 unaanza kupigiwa