lufakale
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 321
- 566
Ukioa huyo jua kuanzia 45 unaanza kupigiwaAina hii ya mwanamke ndio napenda, wa kuililia na kuitaka mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukioa huyo jua kuanzia 45 unaanza kupigiwaAina hii ya mwanamke ndio napenda, wa kuililia na kuitaka mwenyewe.
Ahaa kumbe kuna watu mnaelewa kirahisi hivi!Ujauzito ulipokaribia miezi 5 aliomba .......
Wewe huwezi?Two years without sex?
Wewe upo nje ya ndoa?Wanaume wanatia huruma humo kwenye ndoa balaa
Wewe usinianbieee???😱Kuna huyo jamaa alinyimwa alimbaka mkewe 🤭
Halafu unaweza kukuta ni mtoto wa 2000 anamuita mjomba wa 1982 fala!Fala kweli wewe, fikiria kwanini nimekwambia wewe ni fala
Kabisa aisee, kila siku malalamiko tu.Wanaume wanatia huruma humo kwenye ndoa balaa
Nouma sana kula nyama nyamazaa!Moto ju ya Moto [emoji91]
Duh unapenda mizagamuo kila mara☺️Mimi mwanamke siwezi kaa mwezi bila tendo labda awe kasafiri. Sembuse mwanaume mgh😅 miaka 2,
Kisamvu ntakula mimi mwaya!Yaani wali na kisamvu cha nazi wee huli
Mmhongera🙆Moto ju ya Moto 🔥
Malafyale twambombo ngafu sanaEnna bhabha
Kwamba ndoa ya kikristo haivunjiki?Ndoa ya kikristo hiyo au sio!!?
Cheti kinampa kiburi si ndio!!?
Hakuna aliewahi hukumiwa na Mungu Lisa mitara kama TU unatenda haki Kwa wote!!
Ndio maana yakobo mitara Hadi akazaa taifa takatifu la israel!!!
Oa tu mkuu!!
Dadavua basLeo mmeamua kutumiminia chai na hali ya hewa hii tushindwe sie tu..!!!