Emmanuel nemes
JF-Expert Member
- Nov 20, 2016
- 892
- 654
Jamaa ameuliza swali la msingi sana, sijaona alipo temple, so hilo neno la kutempa liondoe kwanza.- Ndugu yangu yaani unaonekana una TEMPER ya AJABU utafikiri ndio ushatapeliwa tayari, Wabongo bana !
Anyway taratibu ni:
1. Kufungua Akaunti ya pamoja yenye signatories kuanzia 10 au kulingana na utaratibu mzuri zaidi
2. Kufungua kampuni ( LIMITED Co. ) kwa mujijbu wa sheria zote JMT zilizopo !
3. Kuweka mfumo mzuri wa kuajiri watu wote muhimu kwenye uendeshaji wa kampuni kama MM, CEO, Technical Advisor n.k
CRDB inamilikiwa na watu wangapi ?Biashara ya watu 50 hata mngekuwa ndugu hilo ni ngumu kufanyika
Kwema Vijana Wenzangu ?
Unajua kuna wakati ni lazima tukubaliane na ukweli kuwa Vijana wa Tanzania tumetelelekezwa na viongozi wetu, na itakuwa ni jambo baya zaidi kama tutatelekezana wenyewe pia !
Mitaji yetu ni kiduchu, tutakuwa watumwa wa watu mpaka lini, tutakuwa machinga mpaka lini ??
Sasa kama na wewe umechoka kama mimi, nakushirikisha njia HALALI, RAHISI na ya KISASA ya kujikwamua KIMAISHA.
Wanahitajika "VIJANA 50 NET" walio COMMITED, SMART, FOCUSED, WAAMINIFU, HARDWORKER na WENYE SUBIRA !
Nini tutafanya:
Nimeshafanya "survey" kwa manufacturers wa bidhaa kadhaa China, India, Iran na kwingine nimeona ni namna gani biashara za [HASHTAG]#Wholesaling[/HASHTAG]" zina "ROI" nzuri
- Sisi tutakuwa tutafungua akaunti ya pamoja, tutaweka Tsh 150,000 kila mwezi kwa miezi 6 then baada ya hapo, tutazungumza na Manufacturers wa bidhaa tunazotaka, zikiletwa tunauza kwenye Retail Stores na Supermarkets
- Kwa lugha rahisi tutafanya [HASHTAG]#Marketing[/HASHTAG] na [HASHTAG]#BrandBuilding[/HASHTAG]
Taratibu zote za kisheria zitafuatwa. Kama una swali uliza:
Mkuu hakuna faida yoyote mimi nitapata kwa kuorganise watu kwenye jambo la kheri kama hilo. Ni namna tu ya kujaribu kupambana na ndoto zetu kama vijana. Hili ni suala huru na SI LAZIMA.Jamaa ameuliza swali la msingi sana, sijaona alipo temple, so hilo neno la kutempa liondoe kwanza.
Nadhani hilo lingekuwa Next Stage, kama ikitokea watu wakaona inafaa then Mawasiliano yapo tu !WAZO ZURI ILA KUONEKANA SERIOUS ZAID NA FOR MORE CLARITY, WEKA HATA NAMBA HAPO YA SIMU NA EMAIL. THEN WILL WALK THE TALK! PIA NJOO INBOX ILI TUWEZE KUFIKIA CONSENSUS.
Ponzi scheme ikoje hapo Mkuu, Fafanua Mkuu ujue nakuheshimu sana ?Hapo uwezekano wa mtu kupigwa ni mkubwa sana.
Hii basically ni some sort of Ponzi scheme.
THEN COUNT ME IN. ILA PIA TUPEANE UPDATES NDANI YA MDA FULANI KUWA IDADI IMEFIKIA WANGAPI?Nadhani hilo lingekuwa Next Stage, kama ikitokea watu wakaona inafaa then Mawasiliano yapo tu !
Maisha yote Tapeli hutapeliwa...,Nimezungumzia Wapemba kwasababu nilitaka kutoa mfano wa hapa kwetu kwanza kabla hatujaenda mbali,kuna wengine hizo nchi ulizozitaja wanazisikia majina tuSiyo wapemba tu, nchi za Ulaya, Marekani, China, India biashara hizi ni common.
Mimi huwa nashangaa kama wabongo wako sensitive sana na Utapeli kwanini huwa wanatapeliwa sana ?
Ila ualimu ni kazi Ngumu sana !Matapeli wa sasa wanajua kushawishi bana, wako smart na utapeli wao, sio wale wa zamani wananuka nuka tu
We've to be careful enough Wandugu na fursa hizi, ukiona fursa inakufuata miguuni kwenye ulimwengu hu wa science and technology ujue wewe ndo fursa. Ova
Bidhaa ninayoifikiria haiwezi kufeli, na kwa pesa hiyo tunaweza kabisa 20" FCL na Tukapata ROI Nzuri tu !umesema 150,000/= kila mtu kwa vijana 50 ndani ya miezi sita that means (150,000*50*6) hapo unapata 45,000,000/=.
Ni mtaji mkubwa sana huo kwa kuanzia biashara unless hiyo survey yako uwe umeifanyia kazi haswa kwamba product itakayo kuja haiwezi kufeli. otherwise its a good idea I might be in