LURIGA
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,436
- 3,723
Lakini hata watu wakija inbox au kwenye kamwaliko (kikao) wakaona huo mpango wako bado kama hawana nia nzuri wataondoka na wazo lako tu. Ndio maana kuna wadau wamesema humu kwamba wazo nzuri kama hilo huanzishwa na wachache na wanofahamiana vizuri kiuaminfu na hata kiutendaji. Mkishafanya kitu kikasimama ndio sasa mnaweza kualika wengine kwa njia ya hisa na itakuwa ni rahisi kuwashawishi kama tunavyoona makampuni mengine yakiuza hisa. Vinginevyo itakuwa ngumu sana kumobilize watu 50+ kuanzisha hiyo kitu wengi ni matomaso mpaka waone kitu kimesimama ndiyo wanasogea karibu kunusu harufu nzuri itokayo huko! (SIJASEMA HAIWEZEKANI BALI LITAKUWA JAMBO GUMU KUTEKELEZEKA)