Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni hapo atakuwa anamuumiza mumewe? atamwambiaje anahitaji penetration wakati mume uwezo huo anao, atakuwa anamuabuse emotional
Mama sema usikike kuna kama hujamalizia sentensi vile hebu hebu editi kidogo ongeza nyama tukupe mauzoefu
Hapa mkuu ila pia itategemea ana represent vipi shida yake. Kwanza anatakiwa aanze kwa kuchezea mchipa then after hapo ndio anaweza kuwakilisha shida yake. mimi nadhani akimwambia lazima solution itapatikana kama vile ya kutafuta toys etc kama mumewe ansubutu kumridhisha without penetration, je hiyo ndio atashindwa?
Hivi mume mwanajeshi unamvalishaje toy tehetehe,joke. prime dynamics inategemea mwanaume mwenyewe mwingine umpe tiy anawez ku give up lile dude inataka moyo ati
ndugu zangu, nina hili suala ambalo linanitatiza sana, naomba ushauri wenu wa dhati.
Mimi ni mama (48yrs old), nimeolewa nina watoto watatu (22, 18, 16 yrs), naipenda familia yangu, zaidi sana nampenda mume na baba watoto wangu, na maisha yetu kwa kweli ukiacha tatizo hili, tuko murua kabisaa. Shida tuna tatizo hili; miaka ya hivi karibuni baba watoto "jogoo wake amekuwa hawikii" kabisa kutokana ugonjwa wa kisukari na matibabu yake. Na mimi mara kwa mara nimekuwa na wazo la kutafuta kijana wa nje kwa ajili ya mahusiano ya kimapenzi (tendo la ndoa) kwa sababu physically bado ninahitaji. Sasa ndugu zangu naomba mnishauri (nafahamu ya kuwa imani ya dini inakataza) ila uhitaji unanizidi hadi nashindwa kufanya kazi zangu vyema. Sasa naomba mawazo, je itakuwa vibaya (kijamii) kama nikitoka nje na kwa siri? Kama hapana nifanyeje kutatua tatizo hili?
Nb: Kitu nacho miss naona ni ile penetration, kwani style nyinginezo tunazitumia na huwa ananifikisha kileleni
(moderator sina uhakika hii post kama hapa ni pahali pake, please advice kama sio)
Njoo kwangu upate kitu roho yako inataka. nasubiri pm yako.ndugu zangu, nina hili suala ambalo linanitatiza sana, naomba ushauri wenu wa dhati.
mimi ni mama (48yrs old), nimeolewa nina watoto watatu (22, 18, 16 yrs), naipenda familia yangu, zaidi sana nampenda mume na baba watoto wangu, na maisha yetu kwa kweli ukiacha tatizo hili, tuko murua kabisaa. shida tuna tatizo hili; miaka ya hivi karibuni baba watoto "jogoo wake amekuwa hawikii" kabisa kutokana ugonjwa wa kisukari na matibabu yake. na mimi mara kwa mara nimekuwa na wazo la kutafuta kijana wa nje kwa ajili ya mahusiano ya kimapenzi (tendo la ndoa) kwa sababu physically bado ninahitaji. sasa ndugu zangu naomba mnishauri (nafahamu ya kuwa imani ya dini inakataza) ila uhitaji unanizidi hadi nashindwa kufanya kazi zangu vyema. sasa naomba mawazo, je itakuwa vibaya (kijamii) kama nikitoka nje na kwa siri? kama hapana nifanyeje kutatua tatizo hili?
NB: kitu nacho miss naona ni ile penetration, kwani style nyinginezo tunazitumia na huwa ananifikisha kileleni
(moderator sina uhakika hii post kama hapa ni pahali pake, please advice kama sio)
mimi nipo tayari kukfurahisha wewe ni PM tuu tumalizanendugu zangu, nina hili suala ambalo linanitatiza sana, naomba ushauri wenu wa dhati.
mimi ni mama (48yrs old), nimeolewa nina watoto watatu (22, 18, 16 yrs), naipenda familia yangu, zaidi sana nampenda mume na baba watoto wangu, na maisha yetu kwa kweli ukiacha tatizo hili, tuko murua kabisaa. shida tuna tatizo hili; miaka ya hivi karibuni baba watoto "jogoo wake amekuwa hawikii" kabisa kutokana ugonjwa wa kisukari na matibabu yake. na mimi mara kwa mara nimekuwa na wazo la kutafuta kijana wa nje kwa ajili ya mahusiano ya kimapenzi (tendo la ndoa) kwa sababu physically bado ninahitaji. sasa ndugu zangu naomba mnishauri (nafahamu ya kuwa imani ya dini inakataza) ila uhitaji unanizidi hadi nashindwa kufanya kazi zangu vyema. sasa naomba mawazo, je itakuwa vibaya (kijamii) kama nikitoka nje na kwa siri? kama hapana nifanyeje kutatua tatizo hili?
NB: kitu nacho miss naona ni ile penetration, kwani style nyinginezo tunazitumia na huwa ananifikisha kileleni
(moderator sina uhakika hii post kama hapa ni pahali pake, please advice kama sio)
Umri wa miaka 48 lazima utakuwa ndio unakoma hedhi (menopause) au umeshakoma hedhi (post-menopause), ni kipindi ambacho wanawake weengi huwa wanapata ashki (kumradhi '******') za mara kwa mara, na wakati mwingine kali sana kiasi wengi wao wanaweza ishia fanya mambo ya kipuuzi sana. Katika miaka hiyo pia mwanaume uwezo wake kingono (nguvu za kiume) unaanza kupungua, na hali ni mbaya zaidi kwa wanaume wenye matatizo ya kisukari kwa muda mrefu! Ndio maana kina mama wengi sana around umri huo hutafuta 'serengeti boys' hata kama waume/wenzi wao hawana kisukari.
Kwa hiyo kuwa na tatizo hilo la kutamani 'penetration' ni kitu cha kawaida (NB: raha ya ngono si kufika kileleni tu, nje-ndani zina raha yake bila hata kufikia mshindo), ila 'what you gonna do about it' kwa mwanamke wa umri wako na aliyeolewa ndio tatizo. Kama unaamini dini yako na unamuheshimu mumeo na ndoa yako basi vumilia, au ongea na mumeo aridhie we kutoka nje, au mtumie 'sex toys a.k.a dildo'. Lakini kama hujali, waweza tii kiu yako na kutafuta kitulizo cha siri! Umri wako na expirience yako katika ndoa na mahusiano inakutosha kupata suluhisho amabalo ni best for you and your marriage...or atleast best for you!
N
mamangu kabla sijakushauri labda nikuulize, endapo tatizo lingekuwa kwako na mwenzio anataka kutoka nje ya ndoa kwa vile wewe una tatizo ungejisikiaje? ni kweli mumeo amepatwa na tatizo ambalo sio man made bali ni kitu kilicho nje ya uwezo wake, kwa nini usivumilie tu? nafikiri mmepitia hatua nyingi na zenye mafanikio katika mapenzi na ndoa yenu mpaka mkapata watoto, sas bado unahitaji kitu gani kutoka kwa mungu? msaidie mumeo kwa kuwa naye karibu wakati huu wa magumu yanayomsibu.uzinzi ni dhambi itakayoleta mauti ndani ya nyumba yako, hivyo jiepushe kwa kumwomba mungu na kuwa karibu na familia
hii inaonyesha wewe na mume wako you have never talked of your feelings. hapo mama unatafuta conflict which will cost you for the remaining portion of your life. Jamani tatizo hapo ni "communication kati yenu wawili". mimi nadhani wakati uko na mume wako kitandani na baada ya wewe kifika kileleni kama ulivyo eleza hapo juu. huo ndio wakati wa kusema matatizo yako then you may get to consensus. Sasa wewe kama unakufa pole pole na shida yako na huja mweleza mwenzio kosa la nani hapo? speak out your mind and get a better solution. Hivi utajisikiaje au utakua mgeni wa nani mtoto wako wa kike akufumanie na boyfriend wake? Je utamuomba msamaha? au tajishitaki kwa mume wako?
Hapa mkuu ila pia itategemea ana represent vipi shida yake. Kwanza anatakiwa aanze kwa kuchezea mchipa then after hapo ndio anaweza kuwakilisha shida yake. mimi nadhani akimwambia lazima solution itapatikana kama vile ya kutafuta toys etc kama mumewe ansubutu kumridhisha without penetration, je hiyo ndio atashindwa?
jibu la matatizo yapo yote yapo loliondo kwa babu - tangulizeni mungu mbele anzeni safari ya loliondo fasta. Miaka 48 bado una tamaa na vijana wadogo kama wanao, ungalia usije ukaiteketeza famila yako na wewe mwenyewe ukaishia shimo la TEWA - ushauri ndiyo huo.
Dah!! Tutavumiliana ktk shida na Raha, sijui ugonjwa na kifo, sijui msiba na kicheko.
Haya maneno haya, mmmmmmmmmmmh.
ndugu zangu, nina hili suala ambalo linanitatiza sana, naomba ushauri wenu wa dhati.
mimi ni mama (48yrs old), nimeolewa nina watoto watatu (22, 18, 16 yrs), naipenda familia yangu, zaidi sana nampenda mume na baba watoto wangu, na maisha yetu kwa kweli ukiacha tatizo hili, tuko murua kabisaa. shida tuna tatizo hili; miaka ya hivi karibuni baba watoto "jogoo wake amekuwa hawikii" kabisa kutokana ugonjwa wa kisukari na matibabu yake. na mimi mara kwa mara nimekuwa na wazo la kutafuta kijana wa nje kwa ajili ya mahusiano ya kimapenzi (tendo la ndoa) kwa sababu physically bado ninahitaji. sasa ndugu zangu naomba mnishauri (nafahamu ya kuwa imani ya dini inakataza) ila uhitaji unanizidi hadi nashindwa kufanya kazi zangu vyema. sasa naomba mawazo, je itakuwa vibaya (kijamii) kama nikitoka nje na kwa siri? kama hapana nifanyeje kutatua tatizo hili?
NB: kitu nacho miss naona ni ile penetration, kwani style nyinginezo tunazitumia na huwa ananifikisha kileleni
(moderator sina uhakika hii post kama hapa ni pahali pake, please advice kama sio)