Unazungumziaje ngoma mpya ya simba

Unazungumziaje ngoma mpya ya simba

Hivi kwanini wasanii wa bongo wakifika mwisho wa utunzi wanakuja na nyimbo za utotoni?
Nani alimshauri dai kutoa nyimbo za hovyo, kwanini asifukuze wanastudio wote yaani. Au kokosa afrima kumrmfanya hivyo
 
Huyu jamaa sijui ni utumbo gani ule kaimba aisee.

Ngoma ni mbaya, idea ya kikuda, haijulikani anaimba vinini utoto si utoto, ya chumban si ya chumban yani tafrani aisee.
 
Diamomd Platnumz atafute watu wa kumsaidia kutunga mashairi, la sivyo atakuwa na hali ngumu zaidi kuanzia sasa na huko mbeleni.
 
Back
Top Bottom