Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,109
Hainiusu
Nani alimshauri dai kutoa nyimbo za hovyo, kwanini asifukuze wanastudio wote yaani. Au kokosa afrima kumrmfanya hivyoHivi kwanini wasanii wa bongo wakifika mwisho wa utunzi wanakuja na nyimbo za utotoni?
zamu hii hata sound za audio ni mbayaNani alimshauri dai kutoa nyimbo za hovyo, kwanini asifukuze wanastudio wote yaani. Au kokosa afrima kumrmfanya hivyo
Inakusu kama mtanzania ndio msanii wenu pendwaHainiusu
Kidogo hiyi hajatukana [emoji23][emoji23][emoji23] amejitaidAnaturudisha utoton tu
Wanavyoipenda ila jamaa ni kachawi sana kawashika kama yale makanisa ya yule bwanaTungoje mashabiki wake waje
Ndio mnazozipenda [emoji23][emoji23][emoji23]baba lao copy, anaelekea ukingoni kisanaa.
Kuelekea ukingoni Bado sana aiseebaba lao copy, anaelekea ukingoni kisanaa.
Diamomd Platnumz atafute watu wa kumsaidia kutunga mashairi, la sivyo atakuwa na hali ngumu zaidi kuanzia sasa na huko mbeleni.