Uncle wa IVAN( baba) aomba msamaha kwa Zari

Asante
 
Reactions: BAK
Zari kasema halii tena...sasa ni mda wa kucerebrate
 
huyo ndo mme alomzalia watoto haijalishi yaliyotokea? Hivi anashindwa kuvuta hisia yale mazuri waloyapitia
Kila mtu ana mapokeo tofauti mimi kuna mama mdogo cku mmewe anafarikia hakutoa chozi hata moja mpk wanazika instead alikua tu analala bila kuongea
 

Ungeelewa hata kidunchu cha alichoelezea leo husinge andika haya. Alisema ameqnza kulia tangu Hospitali na hata alipofariki saza hadi leo ni siku ngapi!? Na pia mbona wengi nchini uongea mbele ya watu wakifiwa..

Pia jana alipofika Uganda alilia sana esp nyumbani walipokuwa wanapiga nyimbo na watu kumsalimu.
 
Siku akifa Mond ndio itakuwa shughuli maana ataachiwa mali zote ndio hawa wazaramo wa Kigoma watakesha na kulala Instagram
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
wana bendi ya kupiga yowe inakodishwa kabisa inaendaga hadi zambia wapi malawi kupiga yowe la hatari na maspika ya kutosha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
ishiii hiyo ni defence kuwa alilia hospital? Hana jipya kumwacha mmewe kaolewa kwa mdogo wake ni aibu
 
misiba ya kibosbosi hiyooo halii bali anachekelea
 
Wabongo bwana ni wabongo tu,esp wanawake hatupendani.
Zari ana akili sana,atalilia bedroom kwake akishaweka mambo sawa,siku zote mnaambiwa ikitokea mme katangulia na ana Mali kaacha,usikurupuke na yowe,Anza kutunza docs muhimu,card za bank na vingine muhimu fungia then ndio uanze kulia.
hapo amenifurahisha,ana watoto,watu ni wengi.lazima awachunge vizuri na awe strong.
hongera zari,lazima uwe makini na kuangalia Mali za watoto.
Mali siku zote ni ya watoto si ya ndugu.
 
account inasoma benk alie nini? angeachwa nyumba ya mkopo.gari ya mkopo watoto ada ya mkopo angebebeka kweli?
ila wanaume wetu acheni kukopa jamani kumbukeni kuna kesho

Sio mume ni ex-mume. Kujigaragaza kutasaidia nini?
kwa the woman tunaweza sema ok no more feelings at all je vipi kuhusu hao madogo? dry faces as if nothing serious happened duh..au nyie mnaonaje waungwana...anyways ya ngoswe tumuachie ngoswe.
 
kwa the woman tunaweza sema ok no more feelings at all je vipi kuhusu hao madogo? dry faces as if nothing serious happened duh..au nyie mnaonaje waungwana...anyways ya ngoswe tumuachie ngoswe.
hao watoto ni wadogo Sana,miili isikudanganye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…