Uncle wa IVAN( baba) aomba msamaha kwa Zari

Uncle wa IVAN( baba) aomba msamaha kwa Zari

Kuna wengine vilio vyao vya unafiki Ile waonekane tu.nakumbuka kuna msiba mmoja nilienda na wenzangu.njia Nzima kabla ya msiba tulikuwa tunatia story vizuri na kucheka juu.hee Ile tunafika mwenzangu wacha aanze kujigalagaza na Julia kwa sauti. Na mfano mwengine ule msiba wa kanumba tuliona mengi.camera ikimsogelea mtu kulia kunazidi.mimi naamini ukifiwa unaumia tu ila kila mtu ana huzunika kwa namna yake anayoijua yeye. Sio wote wanaonyesha hadharani.
 
Wabongo bwana ni wabongo tu,esp wanawake hatupendani.
Zari ana akili sana,atalilia bedroom kwake akishaweka mambo sawa,siku zote mnaambiwa ikitokea mme katangulia na ana Mali kaacha,usikurupuke na yowe,Anza kutunza docs muhimu,card za bank na vingine muhimu fungia then ndio uanze kulia.
hapo amenifurahisha,ana watoto,watu ni wengi.lazima awachunge vizuri na awe strong.
hongera zari,lazima uwe makini na kuangalia Mali za watoto.
Mali siku zote ni ya watoto si ya ndugu.
Swali ni kwamba...
Je,Zari ni mke wa Ivan?!
 
wale wanaolia wanafikiria mzigo wa maisha...mume kaondoka maisha yatakuaje ila kama kaondoka kaacha kakuachia utajiri unalia ili iweje kama sio unafiki na uchuro
 
hao watoto ni wadogo Sana,miili isikudanganye.
FB_IMG_1496319886380.jpg
FB_IMG_1496319875785.jpg
See what i mean?? that's feelings.Mind temporarily stops normal thinking processes when overwhelming feelings prevail incase you didn't know that.
 
Wabongo bwana ni wabongo tu,esp wanawake hatupendani.
Zari ana akili sana,atalilia bedroom kwake akishaweka mambo sawa,siku zote mnaambiwa ikitokea mme katangulia na ana Mali kaacha,usikurupuke na yowe,Anza kutunza docs muhimu,card za bank na vingine muhimu fungia then ndio uanze kulia.
hapo amenifurahisha,ana watoto,watu ni wengi.lazima awachunge vizuri na awe strong.
hongera zari,lazima uwe makini na kuangalia Mali za watoto.
Mali siku zote ni ya watoto si ya ndugu.
Ukweli mtupu lkn isiyojielewa unapiga yoweee unawap watu nafas ya kufanya yao hakikisha huku ukiwa unapiga yoweee umefungia vit vyote vya muhimu piga yoweee na funguo yako ikiwa umeikaza kwenye tenge ubinadam hakun siku hiz ohooooooo
 
Watu wana moyo video zote sijaona zari akilia kwa uchungu Nijuavyo kumpoteza mme ni kitu kikubwa sana. Nilitegemea kuona akipiga ukunga na mda huu angekua hata sauti haitoki, wiki mzima mfiwa sauti haitoki kabisa dah ana moyo.

mfiwa anapataga nguvu wapi kushika maiki akaongea? Sauti mubashara?mmmh? Au kwa kuwa ana mme kipenzi?

Anyway ni mtizamo wangu msinihukumu huwa niko emotional

Apumzike ivan.
Haina haja ya kumsifia anamoyo wakati hana maumivu moyoni juu ya msiba wa Ivan. Mtu husifiwa anamoyo pale anapoumizwa na jambo lakini bado ana uwezo wa kuendelea na shughuli zingine bila kuathiriwa na jambo hilo linalomuumiza.
 
Watu wana moyo video zote sijaona zari akilia kwa uchungu Nijuavyo kumpoteza mme ni kitu kikubwa sana. Nilitegemea kuona akipiga ukunga na mda huu angekua hata sauti haitoki, wiki mzima mfiwa sauti haitoki kabisa dah ana moyo.

mfiwa anapataga nguvu wapi kushika maiki akaongea? Sauti mubashara?mmmh? Au kwa kuwa ana mme kipenzi?

Anyway ni mtizamo wangu msinihukumu huwa niko emotional

Apumzike ivan.
Hakuwa mumewe tena... Huo uchungu angeupata zaid km mpk asa hivi angekuwa nae bado, ila asa hivi ana baby wa kumbembeleza kwahyo hakimuwazishi sana!!
 
Hakuwa mumewe tena... Huo uchungu angeupata zaid km mpk asa hivi angekuwa nae bado, ila asa hivi ana baby wa kumbembeleza kwahyo hakimuwazishi sana!!
ni kweli kabisa angelia make up yake ingeisha
 
Haina haja ya kumsifia anamoyo wakati hana maumivu moyoni juu ya msiba wa Ivan. Mtu husifiwa anamoyo pale anapoumizwa na jambo lakini bado ana uwezo wa kuendelea na shughuli zingine bila kuathiriwa na jambo hilo linalomuumiza.
nimsifie ninaumwa? Simpendi kama nn
 
Diamond may have to look for another sugar mummy as this one is married to mammon!
 
account inasoma benk alie nini? angeachwa nyumba ya mkopo.gari ya mkopo watoto ada ya mkopo angebebeka kweli?
ila wanaume wetu acheni kukopa jamani kumbukeni kuna kesho
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Zari kichwani yuko vizuri sana, hatawaangusha vijana wake
Hao ndugu wasubiri kwanza, huyo mjomba alipanic vibaya urohoo wa mali unamsumbua
Yaani kwa kweli Hata mi nimemkubali...
 
Back
Top Bottom