Uncle wa IVAN( baba) aomba msamaha kwa Zari

Kuna wengine vilio vyao vya unafiki Ile waonekane tu.nakumbuka kuna msiba mmoja nilienda na wenzangu.njia Nzima kabla ya msiba tulikuwa tunatia story vizuri na kucheka juu.hee Ile tunafika mwenzangu wacha aanze kujigalagaza na Julia kwa sauti. Na mfano mwengine ule msiba wa kanumba tuliona mengi.camera ikimsogelea mtu kulia kunazidi.mimi naamini ukifiwa unaumia tu ila kila mtu ana huzunika kwa namna yake anayoijua yeye. Sio wote wanaonyesha hadharani.
 
Swali ni kwamba...
Je,Zari ni mke wa Ivan?!
 
wale wanaolia wanafikiria mzigo wa maisha...mume kaondoka maisha yatakuaje ila kama kaondoka kaacha kakuachia utajiri unalia ili iweje kama sio unafiki na uchuro
 
Ukweli mtupu lkn isiyojielewa unapiga yoweee unawap watu nafas ya kufanya yao hakikisha huku ukiwa unapiga yoweee umefungia vit vyote vya muhimu piga yoweee na funguo yako ikiwa umeikaza kwenye tenge ubinadam hakun siku hiz ohooooooo
 
Haina haja ya kumsifia anamoyo wakati hana maumivu moyoni juu ya msiba wa Ivan. Mtu husifiwa anamoyo pale anapoumizwa na jambo lakini bado ana uwezo wa kuendelea na shughuli zingine bila kuathiriwa na jambo hilo linalomuumiza.
 
Hakuwa mumewe tena... Huo uchungu angeupata zaid km mpk asa hivi angekuwa nae bado, ila asa hivi ana baby wa kumbembeleza kwahyo hakimuwazishi sana!!
 
Hakuwa mumewe tena... Huo uchungu angeupata zaid km mpk asa hivi angekuwa nae bado, ila asa hivi ana baby wa kumbembeleza kwahyo hakimuwazishi sana!!
ni kweli kabisa angelia make up yake ingeisha
 
Haina haja ya kumsifia anamoyo wakati hana maumivu moyoni juu ya msiba wa Ivan. Mtu husifiwa anamoyo pale anapoumizwa na jambo lakini bado ana uwezo wa kuendelea na shughuli zingine bila kuathiriwa na jambo hilo linalomuumiza.
nimsifie ninaumwa? Simpendi kama nn
 
Diamond may have to look for another sugar mummy as this one is married to mammon!
 
account inasoma benk alie nini? angeachwa nyumba ya mkopo.gari ya mkopo watoto ada ya mkopo angebebeka kweli?
ila wanaume wetu acheni kukopa jamani kumbukeni kuna kesho
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Zari kichwani yuko vizuri sana, hatawaangusha vijana wake
Hao ndugu wasubiri kwanza, huyo mjomba alipanic vibaya urohoo wa mali unamsumbua
Yaani kwa kweli Hata mi nimemkubali...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…