Unconfirmed: Huko Uganda Ommy Dimpoz ajiita producer na songwriter wa Diamond Platinumz

Unconfirmed: Huko Uganda Ommy Dimpoz ajiita producer na songwriter wa Diamond Platinumz

Maboso

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
5,164
Reaction score
5,762
attachment.php
 

Attachments

  • producer_ommy.jpg
    producer_ommy.jpg
    103.3 KB · Views: 2,838
Hata mimi niliiona hiyo nikajaribu kumpigia Chibu simu yake ilikuwa bize lengo nimwambie haone alichojisifia" matobo" jukwaani huko Ug, eti yeye ni mwandishi wa nyimbo za Diamond na pia ni producer wake hadi hako kadada kakawa kanamuuliza kama kweli alichokisema jukwaani ni sawa au
 
Hata mimi niliiona hiyo nikajaribu kumpigia Chibu simu yake ilikuwa bize lengo nimwambie haone alichojisifia" matobo" jukwaani huko Ug, eti yeye ni mwandishi wa nyimbo za Diamond na pia ni producer wake hadi hako kadada kakawa kanamuuliza kama kweli alichokisema jukwaani ni sawa au

Jamaa anataka kuingiza siasa kwenye mziki!!
 
Jamaa anataka kuingiza siasa kwenye mziki!!
Nakenyewe kanataka lifti ya bifu ili katoboe si unaona kalipata ujiko hadi kaling'oa hako kademu hapo, unadhani kumwandikia na kuwa producer wa DIAMOND ni jambo dogo
 
Hata mimi niliiona hiyo nikajaribu kumpigia Chibu simu yake ilikuwa bize lengo nimwambie haone alichojisifia" matobo" jukwaani huko Ug, eti yeye ni mwandishi wa nyimbo za Diamond na pia ni producer wake hadi hako kadada kakawa kanamuuliza kama kweli alichokisema jukwaani ni sawa au
Aisee kama ni kweli basi hizi lifti zinatafutwa kwa mbinu za kila aina.
 

frankly speaking haka kajamaa tangu kana anza muziki yani sika kubali wala nini nakaonaga kanafiki nafiki flani hivi amazing teh teh teh...

Kiba ndio ali mtoa huyu dogo na ile wimbo ya nai nai matokeo yake aka mgeuka kiba na kuanza kumponda na kumdharau kiba. baada ya kuanzisha urafiki na diamond,leo tena kamgeuka chibu kaanza kuleta mambo yake ya kipuuzi puuzi kwa diamond.

watu wa diazini hii wanastahili wavalishwe kanga na chupi ya bambino tuwaoe tu!
 
Naona siku hizi hawapatani na diamond sijui kulitokea Nini
 
Kanatafuta bwana mana kana element z ubwabwa....kaliweka picha kma kadinda ili kaonekane rijali kumbe joka l kibasa
 
Watapata video cha usimu huo, kama kweli basi faini linamjia kubwaaaa. Tu hope sio kweli maana duh
 
Hujaipata Lawyer
No sijaipata ukienda you tube ukaandika Ommy dimpoz in Uganda utaku tana na show aliyo fanya hata kabla ya kutumbuiza aliongea kidogo lakini alicho kiongea si kile kinachosemwa hapa na wala hakuongea muda mrefu au labda aliongea baada ya kutumbuiza! Clip iliyopo aioneshi yaliyo andikwa humu!
Pengine habari hii si ya kweli kabisa!
 
Back
Top Bottom