Undani wa biashara ya utumwa je ni waarabu au wazungu ndiyo chanzo? Soma hapa

Undani wa biashara ya utumwa je ni waarabu au wazungu ndiyo chanzo? Soma hapa

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you kinsmen.!

Naona kumekuwa na mjadala wa vuta nikuvute kwa pande mbili hasa kwenye muelekeo wa kidini zaidi .

Mwelekeo huu ukihusu zaidi waarabu na wazungu na kujikuta tukikaa makundi ya ukristo na uislamu.!

Hii haifai wakuu lazima tuwe neutral na tujadili ukweli sio kuruka ruka na kujivutia kwake kwa kila mtu .

Sasa utumwa ambao waafrica tume experience kwa centuries nyingi sana na kutuachia makovu mengi kwa babu zetu je chanzo walikuwa waarabu au wazungu? Hebu twendeni taratibu huku tukigusa Kate Kate. Well.

WAZUNGU (PORTUGAL NA BRITAIN).

Kwanza tunatakiwa kujua utumwa ulikuwepo Africa kabla hata ya hawa mabwana kufika huku.!

Hawa ndiyo tunaweza kusema walikuwa vinara wa biashara hii kwa kiasi kikubwa yaani ile trans Atlantic slave trade ambayo ilihusisha mabara matatu yaani Africa, Europe, America (ukijumlisha na South america).

Pembe zile za ndovu, gold na vitu vingine kama ngozj na watumwa ndiyo viliwavutia mabwana hawa kuja West Africa kufanya biashara .

The worst of all ni kuwa machief wetu ndiyo walikuwa wanatuuza!
Ingawaje walikuwa wakipewa European finished goods kama pombe,bunduki,nguo,na urembo, wao walitoa vitu tajwa hapo juu.

Ingawa daima hawakuuza watumwa ndani ya jamii yao bali wale mateka wa vitani wanapokwenda kupigana na jamii nyingine mfano Mansa kankan musa wa Mali ndiye alikuwa Kinara mkubwa wa mambo haya na kupata utajiri mkubwa sana.

Britain ndiye kinara wa biashara hii kuliko nchi zote duniani! Ndiyo .

Kati ya mwaka 1602 to 1807. Karibu watumwa milioni 12 walikuwa wanapelekwa America kila mwaka! Idadi hii imebase zaidi West Africa katika nchi hizi Angola ikiongoza, Congo, Senegal, Ivory Coast, Guinea nk.

Faida hii ilienda katika miji ya London, Bristol and Liverpool ambapo ndiyo hasa vilikuwa vituo vikuu vya wafanyabiashara .

JE SAFARI ILIKUWAJE KUWAJE? (THE MIDDLE PASSAGE)
05965etching.png

Kwanza tutambue safari haikuwa rahisi hata kidogo kwa watumwa ndani ya meli mpaka kufika america!

Safari ndani ya meli ilikuwa ngumu kwani watumwa walijazwa kwenye meli karibu kila sehemu na kubanana kiasi kwamba inakua ngumu mtu wa pembeni kujigeuza hata upande! Iliaminika kwamba ma captain wa melini walijua wazi njiani watumwa wengi watakufa na kuwatosa Baharini hivyo angalau watabaki na wengi ili kufidia faida hivyo walijaza wengi zaidi ..

Wengi wao walijikolea hapo hapo na hata kujisaidia hapo hapo! Hali hii ilipelekea uchafu na magonjwa kuzaliwa humo ikiwemo kipindupindu na watumwa kufa kama nzige!
Wengine walikufa kwa kihoro na wengine waligoma kula ili wafe na wengine pia walikufa kwa majeraha.!
Kama ambavo ushahidi ufuatao ulitolewa na aliyewahi kuwa mtumwa bwana oloudah equiano aliyetekwa mwaka 1775 akiwa na miaka kumi pekee kwao Nigeria na kuuzwa alianza kwanza kuishi West indies then akaenda Virginia na baadaye akauzwa kwa bwana mmoja mwanajeshi wa jeshi la majini,
Ambaye akawa anasafiri naye mara kwa mara melini na kumfanya mtumwa wake, inasemekana oloudah aligeuzwq mke halali wa bwana huyo ndipo akajifunza kusoma na kuandika na hatimaye kununua uhuru wake kwa pesa zake alizokuwa anasave kama ifuatavyo kutoka kwenye autobiography yake mwenyewe.

"One day when all our people were gone out to their works as usual, and only I and my dear sister were left to mind the house, two men and a woman got over our walls, and in a moment seized us both; and, without giving us time to to cry out, … they … ran off with us into the nearest wood. Here they tied our hands and continued to carry us as far as they could …
The next day proved of greater sorrow … yet … for my sister and I were then separated … it was in vain that we besought them not to part us; she was torn from me, and immediately carried away, while I was left in a state of distraction not to be described.”

Pia bwana mwengine bwana John jea alizaliwa Nigeria kule old collabar ambaye baadaye alibadili dini na kubatizwa ameandika kama ifuatvyo.

"I ,John Jea, … was born in the town of Old Callabar, in Africa, in the year 1773. My father’s name was Hambleton Robert Jea, my mother’s name Margaret Jea. They were of poor but industrious parents. At two years and a half old, I and my father, mother, brothers, and sisters, were stolen, and conveyed to North America, and sold for slaves.”

Pia a former slave Gran carina anathibitisha.

"Muh gran Calina tell me how he got heah. He say he playin on beach in Africa, an big boat neah duh beach. He say, duh mens on boat take down flag, an put up big piece uh red flannel, an all chillun dey git close tuh watuh edge tuh see flannel an see whut doin. Den duh mens comes off boat an ketch um, an wen duh ole folks come in frum duh fiels dey ain no chillun in village. Dey’s all on boat. Den dey brings um yuh.
They sold us for money, and I myself was sold six times over, sometimes for money, sometimes for a gun, sometimes for cloth … It was about half a year from the time I was taken before I saw white people.”.

pia ndani ya meli wanaume waliwekwa deck ya chini kabisa na wanawake kuachwa juu kuwaburudisha mabaharia na wengineo walipewa mimba sana humo ndani ya meli..


MAISHA BAADA YA KUFIKA AMERICA?.

Baada ya kufika American maisha yalikuwa mabaya zaidi na zaidi....

Twende taratibu..
 
I salute you kinsmen.!

Naona kumekuwa na mjadala wa vuta nikuvute kwa pande mbili hasa kwenye muelekeo wa kidini zaidi .

Mwelekeo huu ukihusu zaidi waarabu na wazungu na kujikuta tukikaa makundi ya ukristo na uislamu.!

Hii haifai wakuu lazima tuwe neutral na tujadili ukweli sio kuruka ruka na kujivutia kwake kwa kila mtu .

Sasa utumwa ambao waafrica tume experience kwa centuries nyingi sana na kutuachia makovu mengi kwa babu zetu je chanzo walikuwa waarabu au wazungu? Hebu twendeni taratibu huku tukigusa Kate Kate. Well.

WAZUNGU (PORTUGAL NA BRITAIN).

Kwanza tunatakiwa kujua utumwa ulikuwepo Africa kabla hata ya hawa mabwana kufika huku.!

Hawa ndiyo tunaweza kusema walikuwa vinara wa biashara hii kwa kiasi kikubwa yaani ile trans Atlantic slave trade ambayo ilihusisha mabara matatu yaani Africa, Europe, America (ukijumlisha na South america).

Pembe zile za ndovu, gold na vitu vingine kama ngozj na watumwa ndiyo viliwavutia mabwana hawa kuja West Africa kufanya biashara .

The worst of all ni kuwa machief wetu ndiyo walikuwa wanatuuza!
Ingawaje walikuwa wakipewa European finished goods kama pombe,bunduki,nguo,na urembo, wao walitoa vitu tajwa hapo juu.

Ingawa daima hawakuuza watumwa ndani ya jamii yao bali wale mateka wa vitani wanapokwenda kupigana na jamii nyingine mfano Mansa kankan musa wa Mali ndiye alikuwa Kinara mkubwa wa mambo haya na kupata utajiri mkubwa sana.

Britain ndiye kinara wa biashara hii kuliko nchi zote duniani! Ndiyo .

Kati ya mwaka 1602 to 1807. Karibu watumwa milioni 12 walikuwa wanapelekwa America kila mwaka! Idadi hii imebase zaidi West Africa katika nchi hizi Angola ikiongoza, Congo, Senegal, Ivory Coast, Guinea nk.

Faida hii ilienda katika miji ya London, Bristol and Liverpool ambapo ndiyo hasa vilikuwa vituo vikuu vya wafanyabiashara .

JE SAFARI ILIKUWAJE KUWAJE? (THE MIDDLE PASSAGE)
View attachment 3084087
Kwanza tutambue safari haikuwa rahisi hata kidogo kwa watumwa ndani ya meli mpaka kufika america!

Safari ndani ya meli ilikuwa ngumu kwani watumwa walijazwa kwenye meli karibu kila sehemu na kubanana kiasi kwamba inakua ngumu mtu wa pembeni kujigeuza hata upande! Iliaminika kwamba ma captain wa melini walijua wazi njiani watumwa wengi watakufa na kuwatosa Baharini hivyo angalau watabaki na wengi ili kufidia faida hivyo walijaza wengi zaidi ..

Wengi wao walijikolea hapo hapo na hata kujisaidia hapo hapo! Hali hii ilipelekea uchafu na magonjwa kuzaliwa humo ikiwemo kipindupindu na watumwa kufa kama nzige!
Wengine walikufa kwa kihoro na wengine waligoma kula ili wafe na wengine pia walikufa kwa majeraha.!
Kama ambavo ushahidi ufuatao ulitolewa na aliyewahi kuwa mtumwa bwana oloudah equiano aliyetekwa mwaka 1775 akiwa na miaka kumi pekee kwao Nigeria na kuuzwa alianza kwanza kuishi West indies then akaenda Virginia na baadaye akauzwa kwa bwana mmoja mwanajeshi wa jeshi la majini,
Ambaye akawa anasafiri naye mara kwa mara melini na kumfanya mtumwa wake, inasemekana oloudah aligeuzwq mke halali wa bwana huyo ndipo akajifunza kusoma na kuandika na hatimaye kununua uhuru wake kwa pesa zake alizokuwa anasave kama ifuatavyo kutoka kwenye autobiography yake mwenyewe.

"One day when all our people were gone out to their works as usual, and only I and my dear sister were left to mind the house, two men and a woman got over our walls, and in a moment seized us both; and, without giving us time to to cry out, … they … ran off with us into the nearest wood. Here they tied our hands and continued to carry us as far as they could …
The next day proved of greater sorrow … yet … for my sister and I were then separated … it was in vain that we besought them not to part us; she was torn from me, and immediately carried away, while I was left in a state of distraction not to be described.”

Pia bwana mwengine bwana John jea alizaliwa Nigeria kule old collabar ambaye baadaye alibadili dini na kubatizwa ameandika kama ifuatvyo.

"I ,John Jea, … was born in the town of Old Callabar, in Africa, in the year 1773. My father’s name was Hambleton Robert Jea, my mother’s name Margaret Jea. They were of poor but industrious parents. At two years and a half old, I and my father, mother, brothers, and sisters, were stolen, and conveyed to North America, and sold for slaves.”

Pia a former slave Gran carina anathibitisha.

"Muh gran Calina tell me how he got heah. He say he playin on beach in Africa, an big boat neah duh beach. He say, duh mens on boat take down flag, an put up big piece uh red flannel, an all chillun dey git close tuh watuh edge tuh see flannel an see whut doin. Den duh mens comes off boat an ketch um, an wen duh ole folks come in frum duh fiels dey ain no chillun in village. Dey’s all on boat. Den dey brings um yuh.
They sold us for money, and I myself was sold six times over, sometimes for money, sometimes for a gun, sometimes for cloth … It was about half a year from the time I was taken before I saw white people.”.

pia ndani ya meli wanaume waliwekwa deck ya chini kabisa na wanawake kuachwa juu kuwaburudisha mabaharia na wengineo walipewa mimba sana humo ndani ya meli..


MAISHA BAADA YA KUFIKA AMERICA?.

Baada ya kufika American maisha yalikuwa mabaya zaidi na zaidi....

Twende taratibu..
Mzungu alinunua, mwarabu alinunua, uza na kukamata, mwafrika (viongozi) walikamata na kuuza. Tofauti ya kipindi kile na sasa ni vile Kuna sense(Hali) ya uhuru wa nje! They are all complicit!
 
MAISHA BAADA YA KUFIKA AMERICA...
Huko hali ndiyo ilikuwa mbaya zaidi kwao.
Kwanza walienda mazingira ambayo siyo familiar kwao na kazi zilikuwa mtindo mmoja! Muda mchache kupumzika na hata kuongea lugha zao za nyumbani ilikuwa marufuku wakalazimishwa waongee kingereza ambacho hawakujua na hatimaye kuzaliwa hii USA pidgin.!

Inasemekana kuwa watumwa wa kike ndiyo waliteseka zaidi ya wale wa kiume

Wengi walibakwa mara kwa mara ma master wao, pia walikatazwa kuonana na wapenzi wao na ikitokea basi mara chache chache sana na kwa kuibia.

Wengi walifanya haya ili kuweza kuishi vizuri kwa masta wake bila bughuza wengine walizaa sana mullatoes yaani hawa machotara kutokana na kulala sana na master zao.

Wengineo wakibahatika kufanywa ma mistress yaani nyumba ndogo na kubahatika kupata privilege kwa watoto wao kutumika kusimamia miradi ya baba zao wazungu na kutumikisha waafrica wenzao, kwani walijiona wao sio weusi tena. Mfano halisi ni kutoka kwa mtumwa mmojawapo.

My father was not allowed to see my mother but two nights a week,” said a woman in the voice of Mary A. Bell. “Dat was Wednesday and Saturday. So he often came home all bloody from his beatings.”

“I had to wok evva day,” said a woman in the voice of Elvira Boles. “I’d leave mah baby cryin’ in the yard, and I’d be cryin’, but I couldn’t stay.”

Wafanyabishara walipenda kuchukua zaidi watumwa wa kike wakiwa wadogo ili kuweza kuwazalisha zaidi na kuongeza nguvu kazi kwa kiasi kikubwa sana wao waliita breeding machine..

Mwanamke mmoja angeweza kuzalishwa watoto 9 mpaka 12 na bado bwana angehimiza wazidi kuzaa apate nguvu kazi shambani..

00000224.jpg


THE SLAVE CODE...
Hii ilikuwa ni sheria iliyotungwa ili kuweza kumkandamiza mtumwa mweusi dhidi ya haki zake ili kuendelea kumnyonya

Ingawa code zilitofautiana kutoka state moja kwenda nyingine lakini most of them zilifanana.

Mtumwa alikuwa anaonekana kama kifaa tu na sio mtu
Pia mtumwa anaweza kutolewa kama zawadi au dhamana ya mkopo na pia kutolewa kama sehemu ya kamari na pia sehemu ya kiburudisho kwa wanawake na hata wanaume pia .

Marufuku kwa mtumwa kumiliki silaha na ukipigwa na mweupe hakuna kudefend..!

Twende taratibu
00034514.jpg
 
Even God Himself approves slavery.But disapproves inhumane treatment of slaves.
 
Mzungu alinunua, mwarabu alinunua, uza na kukamata, mwafrika (viongozi) walikamata na kuuza. Tofauti ya kipindi kile na sasa ni vile Kuna sense(Hali) ya uhuru wa nje! They are all complicit!
Mzungu mwarabu na muafrika wote walihusika
Hakuna sehemu nimesema hawajahusika mkuu twende easy taratibu
 
Hakuna sehemu nimesema hawajahusika mkuu twende easy taratibu
Mkuu mi huwa naongoza kwa uvivu wa kusoma ukweli nimejibia title Yako TU maana ndio kitu nakijua
Nikiwa chuo nilisoma kitabu "America through the eyes of it's people) kilielezea uhalisia wa huo utumwa
 
Utumwa upo toka kitambo sn hata kbl ya wazungu hawa wa ureno, Ujerumani na Uingereza.

Hlf mansa musa Alikuw tajiri hata kbl ya hii biashara ya utumwa.

King Tagbesu wa whyddah huyu ndie alikuwa tajiri kupitia hii biashara ya utumwa huko Afrika magharibi, hasahasa dahomey.
 
Back
Top Bottom