haa mym
JF-Expert Member
- Jul 7, 2014
- 4,829
- 4,614
Tunakusubiri mkuu.Nakuaminia sana kaka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakusubiri mkuu.Nakuaminia sana kaka!
Bila shaka mkuu tuongezee mavitu kichwaniMkuu Mr the dragon unaniruhusu kuchangia hii mada ???
Umeeleweka vyema mkuu.Ni kiapo cha uzalendo alichotoka nacho kwao. Hata Wajapan, walikua na mbinu ya Kamikaze, unajiua katikati ya naadui huku ukiwadhuru wao kwa wingi. Ni kama wafanyavyo magaidi wanajilipua Iraki, Afghanistani na Syria
Umeeleza madini adimu mkuu big up sana.Kama ulitakiwa kujibu suali kuhusu vyanzo vya vita kuu ya kwanza, basi huwezi kukwepa hii ya mauaji ya Archduke Franz Ferdinand.
Waserbia pia walichukizwa sana na kitendo cha Austria-Hungary kuifanya Sarajevo kuwa sehemu yake mwaka 1908.
Pili, ilikuwa ni dhahiri kwamba Archduke Franz Ferdinand angekuja kuwa mfamle wa Austria-Hungary jambo lililowaudhi zaidi waSerbia.
Halafu pia kuna sababu zingine za nyongeza kuhusiana na mauaji hayo.
1. Wakati Archduke Franz Ferdinand na mkewe Sophie wakikagua vikosi vya jeshi huko Sarajevo pia walikuwa walisherehekea miaka michache ya ndoa yao.
Baba yake Franz mfalme wa Austria Franz Joseph alikuwa amemkataza mwanae kutoonekana nje kwenye shughuli za umati wa watu kwasababu Sophie alikuwa ni "commoner" yaani mtu asiye na cheo ndani ya ukoo wa kifalme yaani alikuwa ametoka katika familia ya kawaida.
2. June 28 mwaka 1914 ilikuwa ni siku ya taifa ya Serbia.
3. Baada ya kumpiga risasi Franz Ferdinand muuaji Pricip akajaribu kumpiga risasi gavana wa Sarajevo alieitwa Potiorek ambae alikuwa ni muAustria aliekuwa amekaa kwenye kiti cha mbele kwenye gari na katika purukushani ndiyo akapiga risasi Sophie.
4. Black hand kilikuwa ni kikundi cha kigaidi.