Under value food crops ambazo zinaweza kuwa ni biashara kubwa sana

πŸ™πŸ™πŸ™
 
πŸ™
 
Una akili sana, na mtu asiniulize kwa nini nimesema hivyo! β˜‘οΈπŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ™πŸ™
 
wachana na mihemko kuna mzee aliwahi kuitwa mchaichai kisa hii mihemko ya kijinga kacheki sokoni mchaichae bei juu akaenda kulima heka la mchaichai uliza kilichomkuta sasa
NIni kilimkuta?

Mchaichai unaweza kukausha ukapack au ukasaga iwe unga..
Nadhani hakujipanga vizuri.
 
Ndio ndugu. Hata wasukuma wanakausha wanauta mapalage kama sijakosea. Viazi vinaweza kuhifadhiwa vyema.
Mapalage au michembe, Pia vingine wanavipika halafu wanakausha (matobolwa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…