napenda
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 485
- 90
Wadau naomba kujuzwa.
Hii inanitatiza sana, undergraduate inaanzia level ipi? Certificate, diploma au bachelor?. halafu pia kunamsemo, "kujiendeleza elimu ya juu" hii nayo siielewi, kwani kuna watu wameajiriwa na F4, certificate, diploma, bachelor, yupi hapo akisoma level inayofuata atakuwa kasoma elim ya juu?
Hivyo elimu ya juu ni ipi?
Hii inanitatiza sana, undergraduate inaanzia level ipi? Certificate, diploma au bachelor?. halafu pia kunamsemo, "kujiendeleza elimu ya juu" hii nayo siielewi, kwani kuna watu wameajiriwa na F4, certificate, diploma, bachelor, yupi hapo akisoma level inayofuata atakuwa kasoma elim ya juu?
Hivyo elimu ya juu ni ipi?