Panda daradara mpaka kivukoni, ukifika panda mv dar es salaam mpaka bagamoyo, kisha panda daradara mpaka makumbusho , ulizia gari za kwenda tegeta ukizipata panda mpaka kibaoni. Kata tiketi ya gari LA mwendokasi mpaka kariakoo ukisha fika kariakoo panda daradara za kwenda simu 2000 au ubungo, ukifika ubungo panda Abood mpaka morogoro. Kisha anza kuulizia mbagala ni wapi maana hata mie sijawahi kufika huko mbagala
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimevipenda hivyo vipaka kwa Avatar yakoHatujakuelewa
Ww ndo umeprove upuuzi mtupu .....
Acha uongo. Hao niliowataja umewaona wapi?Ww ndo umeprove upuuzi mtupu .....
Unaonekana unawashobokea hadi unawataja majina utafikiri umepewa cheo cha ubalozi
Eti "wamekua" labda makalio wkt kila siku tunawaona wakiandika ujinga tu
Likes zetu zinakuhusu? Au unataka tukupunguzie kidogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bitoz [emoji4] [emoji4]