Underground vs Wakongwe wa JF

Underground vs Wakongwe wa JF

Panda daradara mpaka kivukoni, ukifika panda mv dar es salaam mpaka bagamoyo, kisha panda daradara mpaka makumbusho , ulizia gari za kwenda tegeta ukizipata panda mpaka kibaoni. Kata tiketi ya gari LA mwendokasi mpaka kariakoo ukisha fika kariakoo panda daradara za kwenda simu 2000 au ubungo, ukifika ubungo panda Abood mpaka morogoro. Kisha anza kuulizia mbagala ni wapi maana hata mie sijawahi kufika huko mbagala
e74480c78eb7e54f060b43f0c68fd240.jpg
 
Kajamaa kama kanatafuta kick hivi kupitia kundi la watu!
691c7dd787992c55704a0e0715396807.jpg
Kweli kbs haka kajamaa(wewe) kanapenda sana kick na sifa ndio maana kanakomenti upuuzi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mh! sijui mie ni mkongwe au underground maana sijui nilijiunga lini hapa JF, nisaidie kuangalia wasifu wangu unijuze
 
f8166e7d9cb923ec661cdcebed29ad01.jpg

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wameanza kukumbuka shuka alfajiei
 
walikuwepo kina Erickb52, kina Husninyo na wengine kibao, ila walipokuwa wakaacha. Na nyie maanda graundi mkikuwa mtaacha.

Eti unakuta mtu ana-like kibao kumbe kaandika upuuzi kama huu.
 
walikuwepo kina Erickb52, kina Husninyo na wengine kibao, ila walipokuwa wakaacha. Na nyie maanda graundi mkikuwa mtaacha.

Eti unakuta mtu ana-like kibao kumbe kaandika upuuzi kama huu.
Ww ndo umeprove upuuzi mtupu .....
Unaonekana unawashobokea hadi unawataja majina utafikiri umepewa cheo cha ubalozi
Eti "wamekua" labda makalio wkt kila siku tunawaona wakiandika ujinga tu
Likes zetu zinakuhusu? Au unataka tukupunguzie kidogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ww ndo umeprove upuuzi mtupu .....
Unaonekana unawashobokea hadi unawataja majina utafikiri umepewa cheo cha ubalozi
Eti "wamekua" labda makalio wkt kila siku tunawaona wakiandika ujinga tu
Likes zetu zinakuhusu? Au unataka tukupunguzie kidogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha uongo. Hao niliowataja umewaona wapi?
 
Back
Top Bottom