Undersea/underwater tunnel year 2030 (Kigamboni - Magogoni). Is it possible?

Undersea/underwater tunnel year 2030 (Kigamboni - Magogoni). Is it possible?

Simao Latino

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2025
Posts
477
Reaction score
608
Morocco 🇲🇦 na Uhispania 🇪🇸 zinapanga kujenga tunnel la Euro bilioni 6 ili kuunganisha nchi hizo mbili.

Njia hiyo itakuwa na urefu wa kilomita 38.5, na kilomita 28 chini ya bahari kwenye kina cha 175-475 m. Ikikamilika, itakuwa mojawapo ya tunnels ndefu zaidi duniani na kuifanya iwe njia ya haraka na ya bei nafuu ya kusafirishia bidhaa na watu kati ya Afrika na Ulaya.

1737745700989.jpg

SWALI: 2030 tukiamua kujenga underwater tunnel kama hii from Magogoni to Kigamboni tukaamua kuachana na Panton itawezekana??..
 
Morocco 🇲🇦 na Uhispania 🇪🇸 zinapanga kujenga tunnel la Euro bilioni 6 ili kuunganisha nchi hizo mbili.

Njia hiyo itakuwa na urefu wa kilomita 38.5, na kilomita 28 chini ya bahari kwenye kina cha 175-475 m. Ikikamilika, itakuwa mojawapo ya tunnels ndefu zaidi duniani na kuifanya iwe njia ya haraka na ya bei nafuu ya kusafirishia bidhaa na watu kati ya Afrika na Ulaya.


SWALI: 2030 tukiamua kujenga underwater tunnel kama hii from Magogoni to Kigamboni tukaamua kuachana na Panton itawezekana??..
Watawaza kukatwa kwa mirija yao,
Badala ya kuwaza kuwapa ahueni ya maisha wananchi wao wa Kigamboni!
 
Morocco 🇲🇦 na Uhispania 🇪🇸 zinapanga kujenga tunnel la Euro bilioni 6 ili kuunganisha nchi hizo mbili.

Njia hiyo itakuwa na urefu wa kilomita 38.5, na kilomita 28 chini ya bahari kwenye kina cha 175-475 m. Ikikamilika, itakuwa mojawapo ya tunnels ndefu zaidi duniani na kuifanya iwe njia ya haraka na ya bei nafuu ya kusafirishia bidhaa na watu kati ya Afrika na Ulaya.


SWALI: 2030 tukiamua kujenga underwater tunnel kama hii from Magogoni to Kigamboni tukaamua kuachana na Panton itawezekana??..
Hizo zote Elon musk alifikiria kabla sio ajabu kuiga, kwa lengo la maendeleo note Kila kitu kinawezekana hata tz.
 
Kama tumeweza kujenga SGR kwanini hiyo itushinde?
 
Daraja lipo few km tu hapo kurasini tunel sio ya msingi ukizingatia bado tunapambana na matundu ya vyoo
From Kurasini to Magogoni?? How long is it?? Mbona sasa abiria wanajazana Magogoni badala ya kwenda Kurasini??..
 
  • Thanks
Reactions: apk
Kuna sehemu niliona kama sio kusoma tatizo la hapo magogoni to Kigamboni wanadai ni Kuna ukaribu Pana hitaji kuchukua baadhi ya kilo metre ili wapate kitu kizuri mm sio mhandisi au atekcha wao ndo wanajua kuelezea Ila nshasikia au kusoma kuhusu hiyo issue ya magogoni as per your heading Mr simao
 
From Kurasini to Magogoni?? How long is it?? Mbona sasa abiria wanajazana Magogoni badala ya kwenda Kurasini??..
Tunel haitadumbukia tu hapo magogoni na kuibukia kigamboni uki consider ukaribu uliopo inabidi uitafutie kwa mbali hivyo mambo ya umbali yatakua yale yale ya kurasini au iwe mbali zaidi inaweza kuwekwa hata coco beach kule . Ungesema daraja la kufunguka angalau ungeeleweka
 
Tunel haitadumbukia tu hapo magogoni na kuibukia kigamboni uki consider ukaribu uliopo inabidi uitafutie kwa mbali hivyo mambo ya umbali yatakua yale yale ya kurasini au iwe mbali zaidi inaweza kuwekwa hata coco beach kule . Ungesema daraja la kufunguka angalau ungeeleweka
Coco Beach mkuu?? Hahahaaa you can't be serious. Hata kama mimi sio engineer ila hauwezi ukanidanganya kwa namna hii mkuu..
 
Back
Top Bottom