Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kapigika SanaJamaa kasepa na kijijiView attachment 3123121
Nimekumbuka pambano la Floyd na yule mfilipino.kapigika Sana
uislamu umembeba hapo Saudia
round 1,2,3,6,7,8,9 zote bivol kashinda bila upinzan wowote
CHUKI DHIDI YA UISLAMU N KUBWA SANAkapigika Sana
uislamu umembeba hapo Saudia
round 1,2,3,6,7,8,9 zote bivol kashinda bila upinzan wowote
Islmophobia haiwezi kukusaidia Boss,kapigika Sana
uislamu umembeba hapo Saudia
round 1,2,3,6,7,8,9 zote bivol kashinda bila upinzan wowote
Bivol alistahili ushindi.biggest fuckin robbery
nachukiaga kupoteza usingiz wangu kuona mtu anadhulumiwa haki yake .......I don't know how these boxers feels,yaan mtu amejiandaa for more than 6 months unakuja kumtapeli ndani ya dakika chache
Beterbiev sio kwamba anangumi nzito kihivyo ila jamaa anajua kupiga panapouma basi jamaa anaweza kukuvumilia mishipi ya wapinzani ila muda wake ukifika akiiotea sehem yake umeisha.Ingawa natamani Bivol ashinde ila Beterbiev ana ngumi nzito itakayopelekea kumtandika Bivol kwa KO
Ila tajiri kashasema kuna uwezekano wa rematch ingawa mkataba wao wa awali haukuwa na kipengele hiko so tajiri kasema atatia mzgokapigika Sana
uislamu umembeba hapo Saudia
round 1,2,3,6,7,8,9 zote bivol kashinda bila upinzan wowote