Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Masanilo, huwa unapata wapi picha za namna hii?
Yaani kwa maumbo haya, tujiandae kwa chaguzi ndogo nyingi siku za usoni.
Msindai nahisi mbuzi mzima anamaliza.......mkuu labda majuu lakini hapa ukiwa hivyo unaonekana unazo saana...hata michuchu unapata kwa saanaJamaa hawa wanapenda sana kula hovyo...nasikia Komba kuku 2 anamaliza...nimezipata kwenye mablog mkuu baija bolobi!
Hivi wanaweza kuwaridhisha wake zao kwa unnene huu?
Na Mke akiwa mnene hivi je huko ndani kutatosha?
Msindai nahisi mbuzi mzima anamaliza.......mkuu labda majuu lakini hapa ukiwa hivyo unaonekana unazo saana...hata michuchu unapata kwa saana
Masa!
Mimi napenda sana kula kuliko kawaida lakini mbona sipo kama wale kabisa? Au inawezekana ndo miili au asili yao kwenye vizazi vyao?
Nahisi kuna sababu nyingine zaidi ya kula zinazosababisha unene kama wa hao waheshimiwa!
Msindai nahisi mbuzi mzima anamaliza.......mkuu labda majuu lakini hapa ukiwa hivyo unaonekana unazo saana...hata michuchu unapata kwa saana