Unene na uzito mkubwa kwa binadamu linakuja kuwa janga la dunia

Unene na uzito mkubwa kwa binadamu linakuja kuwa janga la dunia

Sipendi unene...ila nimeuweza... nakunywa zangu chai ya mdalasini...

Nakula saa 9 jioni...

Usiku matunda...
Mimi tatizo uroho
Huwa nafanya fasting hii kwangu ndio naiona njia rahisi.
Tatizo naweza fanya muda mrefu hata wiki au zaidi halafu najikuta nimechoka naamua kulegeza kidogo kama siku mbili tatu then narudia fasting.
Shida kuna vitu vinashawishi kuvila pia kuviacha ni ngumu.
Ila pia nimegundua njia hii nnayotumia hainilimit nakula chochote.
Na vimazoezi hapa ndio mtihani mana mazoezi kipaji.
Naweza fanya wiki mfululizo halafu kuna siku tu najisikia kupumzika
 
Sipendi unene...ila nimeuweza... nakunywa zangu chai ya mdalasini...

Nakula saa 9 jioni...

Usiku matunda...
Hiyo saa Tisa unakula chakula gani nnataka ni copy hyo ratiba yako nimeipenda maana ukiwa mnene sana Hata kupiga picha hutokei vizuri nijiwahi maana unakuja kwa kasi
 
Hiyo saa Tisa unakula chakula gani nnataka ni copy hyo ratiba yako nimeipenda maana ukiwa mnene sana Hata kupiga picha hutokei vizuri nijiwahi maana unakuja kwa kasi
Asubuhi chai ya mdalasini na kitafunwa chochote ila kula kidogo...

Mchana usile chakula...kama unamatunda kula...

SaaTisa kula chochote cha kupikwa vyakula vya kukaanga kama chipsi usile, wala usinywe soda...

Kula kiasi...

Ukiweza jioni kunywa kikombe cha mdalasini...


Usipende kula kula...
 
Nimewaachia...napenda nikivaa nipendeze...

Unene bwana unanguo na nguo...
Jitahidi kubalance mwili wako vizuri ila hakikisha tu kalio halipungui, maana sasa hivi mjini bila ya kalio unaonekana si lolote si chochote.
 
Jitahidi kubalance mwili wako vizuri ila hakikisha tu kalio halipungui, maana sasa hivi mjini bila ya kalio unaonekana si lolote si chochote.
[emoji1787][emoji1787] limebakia la kishkaji...
 
[emoji1787][emoji1787] limebakia kakishkaji...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] safi sana, siku hizi mambo yamebadilika kwa kasi sana, kalio ndio imekua habari ya mujini.
Kwa kuthibitisha hili angalia hata mashindano ya u miss yamepoteza mvuto wake sio kama ilivyokua zamani.
Nani sasa hivi anataka kupoteza muda wake kwa kuangalia mifupa inavyopita stejini.
Sasa hivi kila mtu anapenda kuona steki zinavyotingishika tingishika.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] safi sana, siku hizi mambo yamebadilika kwa kasi sana, kalio ndio imekua habari ya mujini.
Kwa kuthibitisha hili angalia hata mashindano ya u miss yamepoteza mvuto wake sio kama ilivyokua zamani.
Nani sasa hivi anataka kupoteza muda wake kwa kuangalia mifupa inavyopita stejini.
Sasa hivi kila mtu anapenda kuona steki zinavyotingishika tingishika.
Sasa na wale wenye pasi za mkaa...

Jamani mnasababisha wanawake wavae vigodoro na kuongeza makalio...

Tupendeni tu hivyo hivyo ...
 
Sasa na wale wenye pasi za mkaa...

Jamani mnasababisha wanawake wavae vigodoro na kuongeza makalio...

Tupendeni tu hivyo hivyo ...
Bora tu wavae vigodoro kwa kweli maana upepo ndio ushabadilika tayari.
 
Vitu vitamu sio shida, kula sana ila hakikisha unafanya mazoezi sana…. mbona simple tu.!
nature ya mahangahiko ya maisha ndo inatufanya mazoezi kuwa tabu aisee, tunaishia kufanya zoezi moja tu.
 
Nilipata tabu sana kwenye basi,siti ni mbili ila niliachiwa kinafasi kidogo sana Yani utafikiri atakaa katoto kadogo, aisee sikuvumilia nikabadilishiwa sehemu ya kukaa yenye siti moja...tunawavumilia ndugu zetu lakini wakati mwingine nao pia wajiongeze kidogo tu.
 
Asubuhi chai ya mdalasini na kitafunwa chochote ila kula kidogo...

Mchana usile chakula...kama unamatunda kula...

SaaTisa kula chochote cha kupikwa vyakula vya kukaanga kama chipsi usile, wala usinywe soda...

Kula kiasi...

Ukiweza jioni kunywa kikombe cha mdalasini...


Usipende kula kula...
Mimi sijawahi kunenepa. Soda sinywi, chai nakunywa bila sukari. Asubuhi kabla ya kula nakunywa maji , baada ya nusu saa nakula tunda lakini sio siku zote. Baada ya hapo nakunywa chai bila sukari, mkate wa brown au chapati moja. Mchana nakula kama kawaida ila wanga unakua kidogo. Jioni kula mwisho saa moja na nusu, nikichelewa sana saa 2. Nakula wanga kidogo na mboga nyingi. Chips naweza nisile hata miezi 3. Nafanya kazi na wazungu, wanawake wote ni wembamba na hawana matumbo. Ukija kwa wabongo ni shida, utadhani siku zote ni wajawazito, tenza wanawake ndio wanaongoza.
 
Sasa na wale wenye pasi za mkaa...

Jamani mnasababisha wanawake wavae vigodoro na kuongeza makalio...

Tupendeni tu hivyo hivyo ...
Kuna suppliment za kuongeza makalio , zina wateja balaa. Ila jiulize hao wachina ni zaidi ya flat screen lakini wanatuuzia tu wala hawatumii. Akili mkichwa. Mwanamke ni kujiamini , uwe flat au uwe nza wowowo utapata wa kuendana nawe maana wapo ambao makalio makubwa kwao sio kipaumbele.
 
Back
Top Bottom