secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Hii ndo picha yako halisi kwani. Kama ndivyo Peter Msechu atakuonea sana wivu kwani ndoto yake ni kuwa mtu mwenye tumbo kubwa zaidi TZ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndo picha yako halisi kwani. Kama ndivyo Peter Msechu atakuonea sana wivu kwani ndoto yake ni kuwa mtu mwenye tumbo kubwa zaidi TZ
Njoo pm tuyajenge, unitupie picha yako ili nione kama unachonena ni cha kweli.Kama unene ndiyo huu,basi Mimi ni miss aisee
Wewe mngese nimezaliwa familia ya wanariadha. Toka utotoni ni watu wa mazoezi. Mimi nimeongelea watu wanaozaliwa na unene. Huu ungese wa kufanya tafiti za kimaku ufike mwisho.Asante sana kqa ludhihirisha kuwa wewe ni mnene, siku zote ukiona mtu ana panic kwa jambo ambalo ni facts ujue limemuingia.. Dawa ni moja ndugu fanya mazoezi. Only that. Fanya mazoezi
Jamaa huyu ni mpuuzi! Unaachaje kutaja sababu ya Genetics? My wife mke wangu huwa anajaribu kupunguza misosi lakini wapi ndiyo kwanza anazidi kunenepa!Wewe ni mtu mpuuzi mno. Hujui kuna watu wamezaliwa hivyo? Wewe na hao Lancet ni wapumbavu.
Tarimo kathibitisha hili.
Obviously kama una akili timamu utafanya kwa unaowaweza, mbona zaman iliwezekana? Kiufupi kusiwe na tolerance ya unene, fanya unavyoweza kwa mabae unamuweza of course ukiwa play stupid games u will get stupid prizesKweli unene sio jambo zuri lakini kuwatania na kuwadhalilisha HAPANA, wengine wana hasira akikurukiaa ANAKUSHENYENTAA.
Cha msingi waache kufakamia maugali kama nguruwe!!
Kuleni kiasi tu maji mengi na matunda mengi na mboga za majani kwa wingi!
Unakuta lijitu linafakamia matomato na manyama yaanii ni kichefuchefuu!
Fuateni ushauri wa JANABI.
Mwambie akajaribu carnivore diet, nimeshaona imesaidia mijitu minene mingi, otherwise kama ni ki afya nime mention as well but i guess your chosing words to read, yet you get triggered.Jamaa huyu ni mpuuzi! Unaachaje kutaja sababu ya Genetics? My wife mke wangu huwa anajaribu kupunguza misosi lakini wapi ndiyo kwanza anazidi kunenepa!
Mie sio mnene, mie nimejaziajazia neema za Allah tu. AlhamdulillahAngel Nylon unene sio poa😅
😂 malaika umejazia wap haswa😅😅Mie sio mnene, mie nimejaziajazia neema za Allah tu. Alhamdulillah
Bantu Lady 🤣🤣🤣
Wenye Neema za .... siyo wanene. Ni shepu 😉😅😅😅😅Mie sio mnene, mie nimejaziajazia neema za Allah tu. Alhamdulillah
Bantu Lady 🤣🤣🤣
Siku hizi kila mtu anaropoka kuhusu mambo ya afya.Jamaa huyu ni mpuuzi! Unaachaje kutaja sababu ya Genetics? My wife mke wangu huwa anajaribu kupunguza misosi lakini wapi ndiyo kwanza anazidi kunenepa!
Wewe ni mtu mpuuzi. Kwa hiyo bullying ndo itaondoa tatizo la unene? Watu kama nyie mnaingiaga kwenye matatizo kwa sababu za kizembe sana. Unadhani katika hao utakaowa-bully wote watakuacha salama?COPE HARDER. Cry harder. Unene ni uzembe
Mpuuzi wewe unaeogopa ku bully mtu kisa utapigwa, again kama una low IQ hakuna haja ya ku comment maana una jiaibisha bure.Wewe ni mtu mpuuzi. Kwa hiyo bullying ndo itaondoa tatizo la unene? Watu kama nyie mnaingiaga kwenye matatizo kwa sababu za kizembe sana. Unadhani katika hao utakaowa-bully wote watakuacha salama?