MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kum-bully mtu ndo ujanja kwako? Low IQ anayo mamako kwa kukuzaa mpuuzi kama wewe.Mpuuzi wewe unaeogopa ku bully mtu kisa utapigwa, again kama una low IQ hakuna haja ya ku comment maana una jiaibisha bure.
Kama mamako anavyonuka kinyesi.Cry harder UNENE NI SAWA NA KUNUKA KINYESI. Hautaki basi zaa watoto wafanye wawe mabonge alaf uta enjoy maisha vizuri.
Sijui majitu yamepatwa na nini? Ukute jitu lenyewe linaloshauri mambo ya afya hata shule halina!Siku hizi kila mtu anaropoka kuhusu mambo ya afya.
Watu wanene mmeanza FUJO ila tutawadhibiti.Sijui majitu yamepatwa na nini? Ukute jitu lenyewe linaloshauri mambo ya afya hata shule halina!
🤣🤣🤣Njoo pm tuyajenge, unitupie picha yako ili nione kama unachonena ni cha kweli.
Njoo pm tuyajenge, unitupie picha yako ili nione kama unachonena ni cha kweli.Kama unene ndiyo huu,basi Mimi ni miss aisee
Come on!
KabisaBullying si tabia mzuri
Punguza kisukari Mam'DogoMungu alituumba tule majani na matunda.
Shida ilianza tulipoanza kufakamia MANYAMA, Machips na MAFUTA na MAUGALI!
Mwili unajaa matindikali na masukari, unashangaa mara figo sijui imevimba!
Mara tumbo linabasti, mavi yamejaa tumboni, bawasiri, moyo umeraruka!
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Extrovert Mzee wa kupambania ChoiceVariable chiembe Lucas Mwashambwa
ipo namna mkuu kama kweli anataka kupunguaJamaa huyu ni mpuuzi! Unaachaje kutaja sababu ya Genetics? My wife mke wangu huwa anajaribu kupunguza misosi lakini wapi ndiyo kwanza anazidi kunenepa!
Kama mmenotice wnaao tetea unene na kusema bully sio nzuri wengi wao ni wanene wakiume na wanawake, nafkr hii inadhihilisha fika kabisa kuwa wanene na wanawake wanaongoza kutoa ushauri mbaya katika jamii, ndio maana hata babu zetu walikua wanawaweka pemben kdgo maana maamuzi yao mengi yana base with emotions.Bullying si tabia mzuri
Buno 😂😂 malaika umejazia wap haswa😅😅