Unene wa mke wangu unamuweka matatani

We unastahili ban,unaleta story zako za kijingajinga ukfikiri humu ndai kuna mataahira,umetoka kuanzisha thread hukai na mwanamke now unatuletea huu upuuzi.
Hahahahah! Amesha sahau kama amedumu na bonge kwa miaka 10.
 
Umejiita ze big kwa sababu ya unene wa mkeo??..unajifananisha na mkeo??..safi sana
 
Uckute ww ndo uyo mnene mwenye kg 110 af unajfanya mkeo ndo mana hudum na dem kwa zaid ya cku 4...
 
duuuh huyo mkeo kiboko ana kula kama kiboko kilo mbil za mdudu dadek sio mchezo ana tumbo pakacha????
 
umeumbukaaaaa duuh kwahiyo ulizan sie mataahira leta thread nyingne hadithi zako tamuuu naona unazo nyingi
 
Sasa stress si angekonda stress gani ananenepa
Kuna aina mbili ya matendo wanayofanya watu wakiwa na stress
1. Kuna baadhi wanakula sana kwa maana wanapunguza msongo wa mawazo kwa kufanya kitu kinachofawariji bila kujizuia.
2. Kuna baadhi wanashindwa kula kwa sababu ya msongo wa mawazo.

Probably huyu mke wa mdau hapa ana msongo wa mawazo ambao umepelekea kushindwa tena kujizuia baada ya kujenga tabia ya kula kupita kiasi, na huu ukali unaokuja ukigusia mazoezi unaweza uka-justify kilichopo kwenye kichwa chake.
 
Aasante sana mheshimiwa umenisaidia sana naomba nijue nifanyeje sasa
 
Umeshafanya yote unayoweza kufanya, cha mwisho mueleze tena madhara ya unene, na hatari zitakazo tokea kama anapata diabetes, hypertension, stroke ect. Mwisho wa siku akiwa ni mtu mzima mwenye akili timamu, na ameshapata maelezo ana uhuru wa kuchagua juu ya maisha yake (power of autonomy). Huweza kumlazimisha kama hataki.
 
Ila mkeo kiboko au anapepo mkuu ebu tafuta watu wenye hekima wamshauri.. Unene yaan sio dili afu mbona wanawake wenzie wamegutuka wanafanya mazoez tena ye unamsapot bado mbishi chaaaaaa
 
Exactly!
Na huo ukali kuhusu unene wake ni kwa sababu issue ya msingi inayompa stress haijafanyiwa kazi. Anajiskia kuonewa kuangaliwa matokeo badala ya chanzo.

Mtoa mada, hii ni jf. Tutaremba hapa Na kukuonea huruma Na kumshangaa mkeo. Mwisho wa siku wewe unajua jinsi ya kutatua shida alizo nazo mkeo kabla wasamaria wema Na washauri wa mjini hawajamsaidia kwa mbinu m'badala.
Mkeo ana stress...
 
Ni unene wa kula, kilo 2 za kitimoto kila siku si mchezo, mwambie afanye mazoezi aache ubishi, apunguze kula sana.
 
Mtengenezee mazingira akachukue mkope Access bank,mkopo ambao atashindwa kuulipa,then uone kama hatakonda,au apate kipindu pindu
 
Huyo talaka tu ndo solusheni lasivo atakuja kukufia ndani,inawezekanaje mke awe na uwezo wa kukataa maelekezo yako?
 
Pole sana Mkuu, kuna wengine wanaweza kuwa na masters au Phd lakini hawajaelimika. Nimeshangaa sana hapo ulipondika kwamba alimjia juu Doctor baada ya kumpa recommendations zake za kupambana na unene.

Solution ya kupambana na tatizo hili kubwa ni kwenda pamoja gym na yeye kuacha kufakamia mavyakula hovyo hovyo tena kupita kiasi. Umeandika kwamba unaweza kumpoteza mkeo, hilo ni kweli kabisa mwambie anajichimbia kaburi mwenyewe na jaribu kuwa mkali at the same time umuonyeshe kwamba unampenda na kumuhitaji kwenye maisha yako wewe na watoto.

Hajitambui huyu, kila la heri na Baraka katika juhudi zako. Usisahau kuleta mrejesho uwe hasi au chanya.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…