chiziwafursa
JF-Expert Member
- May 22, 2024
- 558
- 827
1. Unenepeshaji wa ng'ombe
Kipindi cha kiangazi (ukame) ng'ombe huwa zimedhoofika na kusababisha ng'ombe kuuzwa kwa bei ya hasara. Kwa mfano, ukiwa na ng'ombe 5 ambao umewapata kwa 200,000
Jumla ya pesa iliotumika
200,000×5=1,000,000
Makadirio ya matunzo kwa miezi 3 ni 150,000 kwa ng' ombe
150,000×5=750,000
Kama ng'ombe mmoja akiuzwa kwa 800,000a
Jumla
800,000×5=4,000,000
Faida itakayo patikana
4,000,000 -(1,000,000+750,000)= 2,250,000
Faida 2,250,000 tuondoe 250,000kwa matumizi mengine hivyo faida ni 2,000,000
Hii itagemeana na aina ya ng'ombe kama ng'ombe ana mwili mkubwa faida itakuwa kubwa maana anaweza kuuzwa hadi 1M
JAMANI UKAME FURSA
Zingine zinapatikana kwenye kitabu hapo
Kipindi cha kiangazi (ukame) ng'ombe huwa zimedhoofika na kusababisha ng'ombe kuuzwa kwa bei ya hasara. Kwa mfano, ukiwa na ng'ombe 5 ambao umewapata kwa 200,000
Jumla ya pesa iliotumika
200,000×5=1,000,000
Makadirio ya matunzo kwa miezi 3 ni 150,000 kwa ng' ombe
150,000×5=750,000
Kama ng'ombe mmoja akiuzwa kwa 800,000a
Jumla
800,000×5=4,000,000
Faida itakayo patikana
4,000,000 -(1,000,000+750,000)= 2,250,000
Faida 2,250,000 tuondoe 250,000kwa matumizi mengine hivyo faida ni 2,000,000
Hii itagemeana na aina ya ng'ombe kama ng'ombe ana mwili mkubwa faida itakuwa kubwa maana anaweza kuuzwa hadi 1M
JAMANI UKAME FURSA
Zingine zinapatikana kwenye kitabu hapo