Wekeni videoMkuu valid daa anasikitisha sana ngwea,wamshauri aache unga
Dah!
Rest well AlbertHabari wana JF,
Leo nilikuwa naangalia EATV kipindi cha Ujenzi.. Daah Mangwea ameharibika kwa kutumia unga wadau kama kuna mtu ameangalia atakubaliana na mimi yani sauti haitoki kama teja.
Chonde chonde, unga nomaaaaaa! Wasanii mnaotumia mapoodaa muigeni Langa..
Nawasilisha..
Umewaonja wote!?WCB Wote vibamia
ππΏππΏππΏKufuatilia ishu za unga, jiulizeni Amina Chifupa na mumewe wako wapi. Mtoto wa 1981 kawahi kuzimu mapema sana! Kwa upande mwingine ishu hizo muulizeni Langa. Alipata kazi nzuri lakini anakwambia, unga unakufanya uuwaze huohuo ukiwa kokote, na mahali kokote,muda wote,wakati wote! Hukumbuki lingine lolote!
Hii JF ni kamusiHI-HOP BILA MADAWA...
1.Lord Eyez
2.Chid Benz
3.Dogo Hamidu
4.Mr.Blue
5.Young Dee
6.Bou Nako
Loading...