Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, naona hauja fahamu kinacho zungumziwa...😂😂😂Unga gani huo au ni masizi, ule mweusi unaosababishwa na moshi? Wanaufanyia nini wakiutoa hata useme imekuwa dili?
Sina uhakika ila ninachofikiri ni kuwa unatolewa ili usizibe mfumo wa kutoa moshi na kusababisha matatizo mengine.
Inasemekana ilekitu huwa inachukuliwa na kusagwa Hadiikuwe laini kama poda, Kisha inachanganywa na kitu ingine (naomba nisiitaje), alafu inawekwa kwenye vifungashio vidogo tayari kwa kuingia sokoni kwaajili ya kunusa/kulamba kama brauni shugaMimi pia nasubiri kujua ule unga unafanyiwa kazi gani... naona mtu anakuja anataka kununua kile ki bafla kwa hela ndefu.
Kuhusu kaz yake katika exhaust ni kupunguza kuchafua hali ya hewa
Itoshe tu kusema kuna unga kule nyuma ni hela ile. Hebu tuwasubiri mafundi waje.Unga gani huo au ni masizi, ule mweusi unaosababishwa na moshi? Wanaufanyia nini wakiutoa hata useme imekuwa dili?
Sina uhakika ila ninachofikiri ni kuwa unatolewa ili usizibe mfumo wa kutoa moshi na kusababisha matatizo mengine.
duh inawezekana maana wabongo sisi hodar sana kufoj mamboInasemekana ilekitu huwa inachukuliwa na kusagwa Hadiikuwe laini kama poda, Kisha inachanganywa na kitu ingine (naomba nisiitaje), alafu inawekwa kwenye vifungashio vidogo tayari kwa kuingia sokoni kwaajili ya kunusa/kulamba kama brauni shuga
Mimi pia nasubiri kujua ule unga unafanyiwa kazi gani... naona mtu anakuja anataka kununua kile ki bafla kwa hela ndefu.
Ni mgodi unao tembea, kwenye catalytic converter Kuna madini ya thamani kama platinum (Pt) palladium (Pd), na rhodium (Rh).Mimi pia nasubiri kujua ule unga unafanyiwa kazi gani... naona mtu anakuja anataka kununua kile ki bafla kwa hela ndefu.
Kuhusu kaz yake katika exhaust ni kupunguza kuchafua hali ya hewa k