heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Uo unga ukiuchanganya na maji hayachangamani,kunankifaa kingine upo kwa wingi mnooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule unga ni akiba yako endapo utakwama porini bila msaada, weka kwenye kikombe changanya na majimoto toka kwenye rejeta utapata uji.Sijui mimi ni mshamba au vipi! Lakini ukweli ni kuwa inaonesha unga huo umekuwa dili, unatolewa sana.
Sasa je, hakuna madhara kwenye gari lililotolewa huo unga?
Nimekupata mkuuKazi yake kwenye gari ni kupunguza joto kwenye mfumo wa kutolea hewa hata wanaoununua wanaenda kuutumia kwa kazi hiyo hiyo. Ukikosekana gari inakosa nguvu
Kibaya zaidi baadhi ya wamiliki wa magari hawajui kabisa kuhusu hii ishu. Kwa madhara hayo uliyotaja inabidi kuwa makini sana.Una umuhimu mkubwa sana kuwepo kwenye mafla ya exhaust...
Husaidi kupunguza hewa au gesi chafu zinazozalishwa na engine...
Hii pia husaidia kupunguza uchavuzi wa mazingira...
Gari likiwa vizuri, kwenye exhaust litatoa mvuke msafi ulio transparent au matone ya maji, hiyo ni kazi ya huo unga, bila huo unga ni moshi mkubwa mweusi na majivu... hupelekea gari kukosa nguvu na hatimae engine kuchoka mapema...
Cc: mahondaw
Sijui mimi ni mshamba au vipi! Lakini ukweli ni kuwa inaonesha unga huo umekuwa dili, unatolewa sana.
Sasa je, hakuna madhara kwenye gari lililotolewa huo unga?
Na rafiki yangu iko hivyohivyo. Ni sehemu gani wanatoa ili aweze kureplace?Nimepigwa kwa gari yangu sasa madhara gari inakosa nguvu inatoa moshi mwingi yaan tayari hasara
Kureplace inabidi uende ukanunua kipande cha "exhaust" (lakini hakikisha kwanza hilo sega lipo ndani) kwenye maduka ya "used" utoe kilichopo ukauze kama chuma chakavu au wape tu zawadi mafundi hapo gereji.Na rafiki yangu iko hivyohivyo. Ni sehemu gani wanatoa ili aweze kureplace?
Asante kwa taarifa. Kwa wastani ni bei gani?Kureplace inabidi uende ukanunua kipande cha "exhaust" (lakini hakikisha kwanza hilo sega lipo ndani) kwenye maduka ya "used" utoe kilichopo ukauze kama chuma chakavu au wape tu zawadi mafundi hapo gereji.
Kureplace inabidi uende ukanunua kipande cha "exhaust" (lakini hakikisha kwanza hilo sega lipo ndani) kwenye maduka ya "used" utoe kilichopo ukauze kama chuma chakavu au wape tu zawadi mafundi hapo gereji.
Huwezi pata replacement ya huo unga. Nenda kwa fundi wa gari atoe kipande cha "exhaust" kinachohifadhi huo unga kinaitwa kibuyu ndivyo kinavyojulikana kwenye magereji mengi. Nenda kwenye maduka yanayouza "used" ununue kipande kingine waje wafunge/wakichomee. Ni kama unavyonunua "spare used" nyingine tu.Asante kwa taarifa. Kwa wastani ni bei gani?
Asante sana.Huwezi pata replacement ya huo unga. Nenda kwa fundi wa gari atoe kipande cha "exhaust" kinachohifadhi huo unga kinaitwa kibuyu ndivyo kinavyojulikana kwenye magereji mengi. Nenda kwenye maduka yanayouza "used" ununue kipande kingine waje wafunge/wakichomee. Ni kama unavyonunua "spare used" nyingine tu.
Naona umemis kufatwa inboxHuu unga huwa unachanganywa na kinyesi cha mnyama flani (naomba nisimtaje hapa) kisha wanachukua mchanganyiko wanauza kilo moja shs laki 8 kwa ajili ya matumizi (naomba nisitaje matumizi)