Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Habari za Sabato Mkûu!
Ni Jambo la kawaida Kabisa kusikia Watu hasa Wanawake Wakitumia kauli za namna hii katika mazîngira tofautitofauti Kwa mfano wakichambana, kusutana au Wakati wakisikia unamsifia Mwanamke mwenzao àmbaye hajaolewa lakini amefikisha Umri WA kuolewa.
Mfano wa kauli hizô;
1. Ungekuwa mzuri Ungekuwa Mpaka Sasa hajaolewa.
2. Kwa ûzuri gàni alionao. Mbona kila Siku Wanaume wanamkimbia hata kuolewa haolewi.
Pia soma: Wanawake wengi wameolewa ila hawawapendi waume zao kutoka moyoni
3. Hana maajabu ndîo maana anaachwa. Kwa nje yupo hivyo lakini sivyo anavyoonekana ndàni.
Kwa nini Watu wengi zikiwemo za Waafrika, Asia, na kidôgo Ulaya wanamtazamo wa kuhusisha Mwanamke Kuolewa na ûzuri wake?
Huku wale ambao labda hawajapata Bahati au fursa ya kuolewa wakionekana wanatatizo, Kasoro Fulani àmbayo hata kama haionekani Basi wanaamini Ipo Ndani Kabisa?
Kûna ûzuri wa tàbia,
Uzuri WA maumbile,
Uzuri wa Nafasi na Roho,
Uzuri wa Akili
NI ûzuri upi àmbao Unamaanishwa kwamba mwanamke akiwa hajaolewa na anaumri na kuolewa hayuko nao?
Mbona wàpo weñye mwonekano usiovutia wameolewa huku ambao wanamuonekano mzuri wakiwa nje.
Wàpo weñye tàbia Njema hawajaolewa na wàpo tunaowajua waliokuwa wanauza mpaka miili Yao na wameolewa.
NI ûzuri upi unaomaanishwa?
Je nawe NI miongoni mwa Watu unayeamini Mwanamke asipoolewa anakasoro Fulani yàani Hana ûzuri fulani wa msingi?
Karibuni Kwa mjadala.
Ni Jambo la kawaida Kabisa kusikia Watu hasa Wanawake Wakitumia kauli za namna hii katika mazîngira tofautitofauti Kwa mfano wakichambana, kusutana au Wakati wakisikia unamsifia Mwanamke mwenzao àmbaye hajaolewa lakini amefikisha Umri WA kuolewa.
Mfano wa kauli hizô;
1. Ungekuwa mzuri Ungekuwa Mpaka Sasa hajaolewa.
2. Kwa ûzuri gàni alionao. Mbona kila Siku Wanaume wanamkimbia hata kuolewa haolewi.
Pia soma: Wanawake wengi wameolewa ila hawawapendi waume zao kutoka moyoni
3. Hana maajabu ndîo maana anaachwa. Kwa nje yupo hivyo lakini sivyo anavyoonekana ndàni.
Kwa nini Watu wengi zikiwemo za Waafrika, Asia, na kidôgo Ulaya wanamtazamo wa kuhusisha Mwanamke Kuolewa na ûzuri wake?
Huku wale ambao labda hawajapata Bahati au fursa ya kuolewa wakionekana wanatatizo, Kasoro Fulani àmbayo hata kama haionekani Basi wanaamini Ipo Ndani Kabisa?
Kûna ûzuri wa tàbia,
Uzuri WA maumbile,
Uzuri wa Nafasi na Roho,
Uzuri wa Akili
NI ûzuri upi àmbao Unamaanishwa kwamba mwanamke akiwa hajaolewa na anaumri na kuolewa hayuko nao?
Mbona wàpo weñye mwonekano usiovutia wameolewa huku ambao wanamuonekano mzuri wakiwa nje.
Wàpo weñye tàbia Njema hawajaolewa na wàpo tunaowajua waliokuwa wanauza mpaka miili Yao na wameolewa.
NI ûzuri upi unaomaanishwa?
Je nawe NI miongoni mwa Watu unayeamini Mwanamke asipoolewa anakasoro Fulani yàani Hana ûzuri fulani wa msingi?
Karibuni Kwa mjadala.