"Ungekuwa Mzuri ungekuwa Umeolewa" kauli hii Wanawake wanapenda kuambiana inaukweli kiasi gani?

"Ungekuwa Mzuri ungekuwa Umeolewa" kauli hii Wanawake wanapenda kuambiana inaukweli kiasi gani?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Habari za Sabato Mkûu!

Ni Jambo la kawaida Kabisa kusikia Watu hasa Wanawake Wakitumia kauli za namna hii katika mazîngira tofautitofauti Kwa mfano wakichambana, kusutana au Wakati wakisikia unamsifia Mwanamke mwenzao àmbaye hajaolewa lakini amefikisha Umri WA kuolewa.

Mfano wa kauli hizô;
1. Ungekuwa mzuri Ungekuwa Mpaka Sasa hajaolewa.
2. Kwa ûzuri gàni alionao. Mbona kila Siku Wanaume wanamkimbia hata kuolewa haolewi.

Pia soma: Wanawake wengi wameolewa ila hawawapendi waume zao kutoka moyoni

3. Hana maajabu ndîo maana anaachwa. Kwa nje yupo hivyo lakini sivyo anavyoonekana ndàni.

Kwa nini Watu wengi zikiwemo za Waafrika, Asia, na kidôgo Ulaya wanamtazamo wa kuhusisha Mwanamke Kuolewa na ûzuri wake?
Huku wale ambao labda hawajapata Bahati au fursa ya kuolewa wakionekana wanatatizo, Kasoro Fulani àmbayo hata kama haionekani Basi wanaamini Ipo Ndani Kabisa?

Kûna ûzuri wa tàbia,
Uzuri WA maumbile,
Uzuri wa Nafasi na Roho,
Uzuri wa Akili

NI ûzuri upi àmbao Unamaanishwa kwamba mwanamke akiwa hajaolewa na anaumri na kuolewa hayuko nao?

Mbona wàpo weñye mwonekano usiovutia wameolewa huku ambao wanamuonekano mzuri wakiwa nje.
Wàpo weñye tàbia Njema hawajaolewa na wàpo tunaowajua waliokuwa wanauza mpaka miili Yao na wameolewa.

NI ûzuri upi unaomaanishwa?

Je nawe NI miongoni mwa Watu unayeamini Mwanamke asipoolewa anakasoro Fulani yàani Hana ûzuri fulani wa msingi?

Karibuni Kwa mjadala.
 
Kama ulivyosema wanaambianaga hivyo wakiwa katika hali ya kuchambana au kusutana kiufupi wakiwa kwwnye hali ya magomvi, ni ile ya akutukanae hakuchagulii tusi,

Kwa mujibu wa jamii zetu inaaminika kuolewa inaongeza heshima kwa mwanamke lakini kwa usawa tulionao ndoa haitoi uhakika wa kuishi kwa furaha wala kwenda mbinguni, kumdhihaki asie nayo ni kukosa kumakinika kwa muolewaji kwenye majukumu yake ya ndoa

Sio wanawake tu hata njemba zipo inazizomea pisi ambazo hazijaolewa sasa unajiuliza mtu km huyu anamtambia na kudhihaki mwanamke ni wivu au upunguani au nae ni mwanamke katika umbo la kiume
 
Kwa hîyo wanamaanisha hivyo?
So kûna uhûsiano wa Mwanamke Kuolewa na ûzuri wake?
Ambao Hawajaolewa Hawana ûzuri huo(wowote)?



Wanawake ambao wanakosa ndoa AKILI ndo zinawaangusha na sio uzuri wa mwonekano.

Anaweza kuwa beauty with no brain hii itamfanya wanaume wamruke

Na anaweza kuwa ugly with brain huyu lazima ataokota .

Ila kiukweli sisi wanaume tunataka smart and beuty.
 
Kama ulivyosema wanaambianaga hivyo wakiwa katika hali ya kuchambana au kusutana kiufupi wakiwa kwwnye hali ya magomvi, ni ile ya akutukanae hakuchagulii tusi,

Kwa mujibu wa jamii zetu inaaminika kuolewa inaongeza heshima kwa mwanamke lakini kwa usawa tulionao ndoa haitoi uhakika wa kuishi kwa furaha wala kwenda mbinguni, kumdhihaki asie nayo ni kukosa kumakinika kwa muolewaji kwenye majukumu yake ya ndoa

Sio wanawake tu hata njemba zipo inazizomea pisi ambazo hazijaolewa sasa unajiuliza mtu km huyu anamtambia na kudhihaki mwanamke ni wivu au upunguani au nae ni mwanamke katika umbo la kiume

Umesema Sahihi Kabisa.

Lakini Wanaume pia tunahusika Hapa.
Kwa sababu Sisi tunapomfuata mwanamke Moja ya vitu muhimu na nyeti tunavyovizingatia NI ûzuri wa Mwanamke.

Mwanamke unaweza ukamuona wa Kawaida Kabisa au mbaya lakini kama kûna MTU anamwambia yeye ni Mzuri na amemwoa anajiamini zaidi ya Yule àmbaye anaonekana mzuri na Hana WA kumwambia kuwa ni mzuri.

Pia Mwanamke ukimfuata moj ya vitu unavyotakiwa kueleza NI sababu ya kumfuata yàani Umempendea nini. Na mantiki ya kupenda NI kuwa Huwezi penda kitu au Jambo baya. Kwamba linaweza kuwa baya Kwa Wengine lakini kwako likawa Zuri.
Hii NI kumaanisha Upendo unahusiana na Ûzuri.

"Ungekuwa mzuri Basi ungependwa au ungekuwa na hata MTU mmoja anayekupenda" Kauli hizo Hapo juu zinamaanisha kitu kama hiki.

Pesa ni nzuri na Kwa sababu inapendwa na Watu wengi.
 
Habari za Sabato Mkûu!

Ni Jambo la kawaida Kabisa kusikia Watu hasa Wanawake Wakitumia kauli za namna hii katika mazîngira tofautitofauti Kwa mfano wakichambana, kusutana au Wakati wakisikia unamsifia Mwanamke mwenzao àmbaye hajaolewa lakini amefikisha Umri WA kuolewa.

Mfano wa kauli hizô;
1. Ungekuwa mzuri Ungekuwa Mpaka Sasa hajaolewa.
2. Kwa ûzuri gàni alionao. Mbona kila Siku Wanaume wanamkimbia hata kuolewa haolewi.

Pia soma: Wanawake wengi wameolewa ila hawawapendi waume zao kutoka moyoni

3. Hana maajabu ndîo maana anaachwa. Kwa nje yupo hivyo lakini sivyo anavyoonekana ndàni.

Kwa nini Watu wengi zikiwemo za Waafrika, Asia, na kidôgo Ulaya wanamtazamo wa kuhusisha Mwanamke Kuolewa na ûzuri wake?
Huku wale ambao labda hawajapata Bahati au fursa ya kuolewa wakionekana wanatatizo, Kasoro Fulani àmbayo hata kama haionekani Basi wanaamini Ipo Ndani Kabisa?

Kûna ûzuri wa tàbia,
Uzuri WA maumbile,
Uzuri wa Nafasi na Roho,
Uzuri wa Akili

NI ûzuri upi àmbao Unamaanishwa kwamba mwanamke akiwa hajaolewa na anaumri na kuolewa hayuko nao?

Mbona wàpo weñye mwonekano usiovutia wameolewa huku ambao wanamuonekano mzuri wakiwa nje.
Wàpo weñye tàbia Njema hawajaolewa na wàpo tunaowajua waliokuwa wanauza mpaka miili Yao na wameolewa.

NI ûzuri upi unaomaanishwa?

Je nawe NI miongoni mwa Watu unayeamini Mwanamke asipoolewa anakasoro Fulani yàani Hana ûzuri fulani wa msingi?

Karibuni Kwa mjadala.
msifanyiane hivyo wote tutawaoa sawa mrembo?
 
Sana,japo kuvumilia ndiyo tatizo letu pia

Kuvumilia uhalifu NI kuwa mhalifu na kujifanyia uhalifu.

Uvumilivu unaotajwa ni uvumilivu wa Changamoto za Maisha zikiwemo uchumi, ugonjwa, na madhaifu Mengine àmbayo siô dhambi mfano Hasira, usahaulifu, upole, n.k.

Siô kuvumilia matusi, kipigo, umalaya, uchoyo, Usaliti, unyanyasaji n.k. huo haupo sehemu ya uvumilivu
 
Wanawake ambao wanakosa ndoa AKILI ndo zinawaangusha na sio uzuri wa mwonekano.

Anaweza kuwa beauty with no brain hii itamfanya wanaume wamruke

Na anaweza kuwa ugly with brain huyu lazima ataokota .

Ila kiukweli sisi wanaume tunataka smart and beuty.

Lakini changamoto za Smart women Wanaume wengi hawazitaki hasa tabia ya kufanya argument, Wanaume wengi hupenda Wanawake wa ndîo mkuu
 
Umesema Sahihi Kabisa.

Lakini Wanaume pia tunahusika Hapa.
Kwa sababu Sisi tunapomfuata mwanamke Moja ya vitu muhimu na nyeti tunavyovizingatia NI ûzuri wa Mwanamke.

Mwanamke unaweza ukamuona wa Kawaida Kabisa au mbaya lakini kama kûna MTU anamwambia yeye ni Mzuri na amemwoa anajiamini zaidi ya Yule àmbaye anaonekana mzuri na Hana WA kumwambia kuwa ni mzuri.

Pia Mwanamke ukimfuata moj ya vitu unavyotakiwa kueleza NI sababu ya kumfuata yàani Umempendea nini. Na mantiki ya kupenda NI kuwa Huwezi penda kitu au Jambo baya. Kwamba linaweza kuwa baya Kwa Wengine lakini kwako likawa Zuri.
Hii NI kumaanisha Upendo unahusiana na Ûzuri.

"Ungekuwa mzuri Basi ungependwa au ungekuwa na hata MTU mmoja anayekupenda" Kauli hizo Hapo juu zinamaanisha kitu kama hiki.

Pesa ni nzuri na Kwa sababu inapendwa na Watu wengi.
Kauli za wenye wivu tu isitoshe uzuri wa mtu uko machoni pa mtazamaji, tatizo watu wamegeuza kuolewa km hitaji la msingi kumbe sio kweli,

Labda km huyo mwanamke alikuwa ananata na kudharau ndoa halafu aanze kuhangaikia kuolewa hapo sasa waja tutampa ya kumpa,, na vicheko tutacheka
 
MTU smart hawezi kuwa na hizo mambo za argument

Kuna mwanamke smart na mwanamke mjuaji (stubborn woman)

Ukiwa smart unakuwa logical na sio argument

Upo Sahihi
Lakini ili uwe logical automatically lazima úwe Mtu WA argument

Bahati mbaya Kwa Tanzania Watu wanaokuwa logical na wanaopenda Facts huitwa wajuaji. Sio tuu Wanawake Bali hata Wanaume.
 
Back
Top Bottom