"Ungekuwa Mzuri ungekuwa Umeolewa" kauli hii Wanawake wanapenda kuambiana inaukweli kiasi gani?

"Ungekuwa Mzuri ungekuwa Umeolewa" kauli hii Wanawake wanapenda kuambiana inaukweli kiasi gani?

Hizo ni kauli za kuonyesha wivu hasa kwa wanawake ambao wanaona mwenzao kuna kitu kawazidi ,yani ni kauli za wanawake wa uswahilini.

Kauli hizo zinatolewa mpaka na viongozi wa nchi nilishawahi kusikia Baadhi ya viongozi wakisema hivyo
 
Huo wimbo Bora ulipigwa marufuku

f56023123bb1487ebb0d93abc392149d.jpg
 
Uzuri wa Tabia, Nafsi na Roho ndo tatizo kubwa la wanawake wengi hasa wale wenye uzuri wa Maumbile na/au Akili.

Na kiukweli Mke mwema sio yule mwenye Tako kubwa wala mwenye GPA kali. So ieleweke tu uzuri unaohusishwa na kuolewa ni Uzuri wa Tabia, Nafsi na Roho maaana huu ndo unamfafanua mtu jinsi anavyoishi na jamii, familia na Mume.

Nirudie?

Inatosha Mkuu
 
Back
Top Bottom