Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Mi sio incubatorRafiki yangu kweli unasambaza upendoo😂😂😂 ningekuwa karibu NAMI ningejaribu nitoboe angalao week. Vipi wote umewazalia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sio incubatorRafiki yangu kweli unasambaza upendoo😂😂😂 ningekuwa karibu NAMI ningejaribu nitoboe angalao week. Vipi wote umewazalia?
Nakazia hapaWanawake ambao wanakosa ndoa AKILI ndo zinawaangusha na sio uzuri wa mwonekano.
Anaweza kuwa beauty with no brain hii itamfanya wanaume wamruke
Na anaweza kuwa ugly with brain huyu lazima ataokota .
Ila kiukweli sisi wanaume tunataka smart and beuty.
Kweli kabisa, wewe vipi umefungasha 😅Maisha ni kuinjoi aseee......akili mtatumia zako 😹😹
Hapana sheikh 😹Kweli kabisa, wewe vipi umefungasha 😅
Ntakupigia ngoja nijadiliane na marafiki zangu huo umri wako......Mimi ni mweupe mrefu ila nina miaka 24 utanipokea ? Au ndo nisubiri utanipigia
Of course mi napenda kuolewa hata ikitokea huyu akazingua akatokea wa kubeba zigo hata sivungi naolewa tena na shela navaa, ila hainifanyi niwaone wasio olewa kuna kitu wanapungukiwa,
🤣🤣🤣Fungua PM Watu waingie Ajira Portal Kutuma Application zà o ready to serve
Ambiguous,unamaanisha uzuri wa sura au tabia?
Fanya maarifa uolewe, huo mtazamo wako unapingana na uhalisia kwa sababu hauko sawa.Kama ulivyosema wanaambianaga hivyo wakiwa katika hali ya kuchambana au kusutana kiufupi wakiwa kwwnye hali ya magomvi, ni ile ya akutukanae hakuchagulii tusi,
Kwa mujibu wa jamii zetu inaaminika kuolewa inaongeza heshima kwa mwanamke lakini kwa usawa tulionao ndoa haitoi uhakika wa kuishi kwa furaha wala kwenda mbinguni, kumdhihaki asie nayo ni kukosa kumakinika kwa muolewaji kwenye majukumu yake ya ndoa
Sio wanawake tu hata njemba zipo inazizomea pisi ambazo hazijaolewa sasa unajiuliza mtu km huyu anamtambia na kudhihaki mwanamke ni wivu au upunguani au nae ni mwanamke katika umbo la kiume
Kutoolewa kwangu we kunakutesaje?Fanya maarifa uolewe, huo mtazamo wako unapingana na uhalisia kwa sababu hauko sawa.
Mwanamke anafatwa hafati, sasa wewe mwanaume unapokataa kumfata mwanamke maana yake ufatwe,Kwahiyo unakubali ndoa ni optional na haina maana ya heshima??
#YNWA
#YANGA_BINGWA
NimeshakujibuKama unajua ni maamuzi, sasa mbona Kataa ndoa unapenda kuwaita mashoga, waolewe wao na matusi kama hayo yanayolenga kushusha uanaume wao?
#YNWA
Huna pa kukwepeaIla umesema NDOA NI OPTIONAL??
#YNWA