kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kila mtu hapendi aibu na kushuka. Hata Nabi na wachezaji wanaoondoka Yanga baada ya kuipa Yanga Mataji mengi na kucheza finali ya CAF wangependa kuondoka na sifa Yao hiyo kama ikiwezekana.
Ukiona kocha, mchezaji au mfanyakazi yeyote anaendelea kubaki kwenye kituo chake Cha kazi kwa muda mrefu ni ama Hana kitu Cha ziada, ameboreshewa maslahi kuliko anakotakiwa au ana shida za kiafya.
Uwezo wa Nabi na wachezaji wetu ndio umeishia pale, Sasa ni wakati wa kusonga mbele zaidi kwa kutafuta kocha mpya zaidi ya Nabi na wachezaji wapya zaidi ya wanaoondoka badala ya kukunja shingo.
Hata CCM hakuna Rais ambae anataka Chama kimfie mikono mwake hata kama anajuwa kuwa umaarufu wa Chama umepungua sana.
Nabi kuacha kumpa namba Dumbia ni ushahidi kuwa hakuhusishwa wakati wa usajili wake. Lakini hakuna kocha mwenye akili timamu atapenda kushiriki mashindano ya mapinduzi cup.
Ukiona kocha, mchezaji au mfanyakazi yeyote anaendelea kubaki kwenye kituo chake Cha kazi kwa muda mrefu ni ama Hana kitu Cha ziada, ameboreshewa maslahi kuliko anakotakiwa au ana shida za kiafya.
Uwezo wa Nabi na wachezaji wetu ndio umeishia pale, Sasa ni wakati wa kusonga mbele zaidi kwa kutafuta kocha mpya zaidi ya Nabi na wachezaji wapya zaidi ya wanaoondoka badala ya kukunja shingo.
Hata CCM hakuna Rais ambae anataka Chama kimfie mikono mwake hata kama anajuwa kuwa umaarufu wa Chama umepungua sana.
Nabi kuacha kumpa namba Dumbia ni ushahidi kuwa hakuhusishwa wakati wa usajili wake. Lakini hakuna kocha mwenye akili timamu atapenda kushiriki mashindano ya mapinduzi cup.