Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
- Thread starter
-
- #21
Yani hata mi nashangaa alafu mwanamke hataki kurudiHuu Ni uongo!!
Hata kama gari limeharibika, haiwezekani likawa halijatengenezwa kwa muda wote huo wa wiki tatu!!
Ofisi gani hiyo inashindwa kuwarejesha wafanyakazi wake wakiwa wamepatwa Na matatizo
Sio riwaya ndugu hii ni kweli kabisa ila mi nadhani huyu mwanamke kuna namna tu si bureMarehemu alikua hana ndugu hadi asafirishwe na wafanyakazi wenzie peke yao kadiri ya maelezo yako..?? Ninyi ni wafanyakazi ama ni vibarua ktk hiyo ofisi..? Kwamba uwepo usiwepo sawa tu..............Ungesema tu hii ni riwaya kama za akina Ngoswe... (tusingekuchapa)
..............Anyway ndo mana Tahakiki zipo................
Kuhusu rafiki yako, mwambie huu ndo muda mwafaka wa kunoa makofi, akifika tu mkewe amweke vitu hadi ajitambue kua yeye ni mke wa mtu
Sio kampuni binafsi ni serikalini ndugu ila wanasema imeharibika injini wamepeleka gerejiKama walikwenda Sumbawanga inawezekana wameshakuwa misukule hao. Wiki tatu gari gani hio isiotengezeka?[emoji15] Hio ajira bado inawasubiri tu muda wote huo?[emoji15]
Kwanini hio kampuni yenu isipeleke nauli au hela ya matengenezo ya hio gari?[emoji15] maswali ni mengi sana hata mpaka usaidi kutoa ushauri hapa.
Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji182] [emoji182] [emoji182] [emoji173] [emoji173] [emoji813] [emoji160] [emoji160] [emoji160] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Haya twende isije ikawa kesi.