Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Habari zenu wakuu,najua watu mko katika hali ya hatari na msongo wa mawazo kwa kuiona hii kitu ikitokea leo hii katika dunia Benetton retira foto do Papa beijando um imã no Cairo - Yahoo!.
sasa twendeni kwenye swali langu,
Wewe ni dereva wa malori na umeoa,kwahiyo unaposafiri unamuacha my wife wako peke yake nyumbani,lakini tabia ya mkeo sio nzuri kwa kweli,ukitoka huwa anaingiza bwana wake nyumbani kwako hapo,kitendo hicho kinawaudhi baadhi ya majirani na kukusubiri urudi ili wakuambie.
Basi uliporudi majirani wakakuambia yote yanayotendeka na wewe kuamua kufanya uchunguzi kwa kumuaga mkeo ya kuwa utasafiri siku hiyo, lakini ukweli ni kwamba hutosafiri bali utajificha katika nyumba moja ya majirani zako ili kijana huyo akija basi wakutaarifu ili ufumanie.
kweli ukamuaga mkeo kuwa utafasiri na kwenda Lubumbashi kwahiyo utakaa kama week hivi katika safari yako hiyo.
Usiku ulipowadia ,majirani wakamuona kijana akiingia katika nyumba yako wakaja kukutaarifu kuwa huyo mume mwenzio ameshafika,mzee bila kuchelewesha muda unatoka kwa ghadhabu ili ukafumanie
ulipofika mlangoni na kubisha hodi mara akatokea simba na kukuvamia na kutaka kukula lakini yule mume mwenzio akapata ujasiri akatoka na mchi na kumpiga nao Simba,Simba akakimbia na yeye akakuchukua akakuingiza ndani akaufunga na mlango,ukimuangalia jamaa amevaa khanga ya mkeo.
Je? utamfanyaje huyo mume mwenzio.Nalog off
sasa twendeni kwenye swali langu,
Wewe ni dereva wa malori na umeoa,kwahiyo unaposafiri unamuacha my wife wako peke yake nyumbani,lakini tabia ya mkeo sio nzuri kwa kweli,ukitoka huwa anaingiza bwana wake nyumbani kwako hapo,kitendo hicho kinawaudhi baadhi ya majirani na kukusubiri urudi ili wakuambie.
Basi uliporudi majirani wakakuambia yote yanayotendeka na wewe kuamua kufanya uchunguzi kwa kumuaga mkeo ya kuwa utasafiri siku hiyo, lakini ukweli ni kwamba hutosafiri bali utajificha katika nyumba moja ya majirani zako ili kijana huyo akija basi wakutaarifu ili ufumanie.
kweli ukamuaga mkeo kuwa utafasiri na kwenda Lubumbashi kwahiyo utakaa kama week hivi katika safari yako hiyo.
Usiku ulipowadia ,majirani wakamuona kijana akiingia katika nyumba yako wakaja kukutaarifu kuwa huyo mume mwenzio ameshafika,mzee bila kuchelewesha muda unatoka kwa ghadhabu ili ukafumanie
ulipofika mlangoni na kubisha hodi mara akatokea simba na kukuvamia na kutaka kukula lakini yule mume mwenzio akapata ujasiri akatoka na mchi na kumpiga nao Simba,Simba akakimbia na yeye akakuchukua akakuingiza ndani akaufunga na mlango,ukimuangalia jamaa amevaa khanga ya mkeo.
Je? utamfanyaje huyo mume mwenzio.Nalog off