Ungekuwa wewe ungefanyaje

Ungekuwa wewe ungefanyaje

Kuna work mate ana mtoto sasa kwao mbali kwaiyo anashinda kwangu Mimi nipo karibu na eneo LA kazi anafika na binti anawaacha kwangu mtoto na binti kiroho safii nawaachiaga funguo ya room wanatumia jiko langu LA gesi kuchemsha chai,maji ya kuoga mtoto pia kila siku, sukari ndo wanategemea yangu iyo iyo work mate, Dada wa kazi jamani ata siku moja waseme tutachangia sukari?

Ikiisha wanasubir nitie nyingin nipo kama nalea familia,sasa hapa Nina kasafari vitu vyote nimeamisha nimeacha chumba tu sasa nawaza kunifikilia vibaya naona kama atanisengenya kwanini sijamwachia funguo kama nasafiri
Kama umeamua kuwasaidia kwa moyo, Wasaidie bila kunung'unika...utapata baraka za huyo mtoto

Ila kama unaona wamekuwa mzigo mwambie huyo Work mate ajiongeze
 
Sasa unaondoka si uviache watumie vikiisha uone kama watapiga simu???

Nilichokifunza watu wachoyo ndio Huwa mnaletewa watu wenye matatizo ktk maisha yenu Ili roho mbaya yenu iwanyooshe mkome.
 
Kuna work mate ana mtoto sasa kwao mbali kwaiyo anashinda kwangu Mimi nipo karibu na eneo LA kazi anafika na binti anawaacha kwangu mtoto na binti kiroho safii nawaachiaga funguo ya room wanatumia jiko langu LA gesi kuchemsha chai,maji ya kuoga mtoto pia kila siku, sukari ndo wanategemea yangu iyo iyo work mate, Dada wa kazi jamani ata siku moja waseme tutachangia sukari?

Ikiisha wanasubir nitie nyingin nipo kama nalea familia,sasa hapa Nina kasafari vitu vyote nimeamisha nimeacha chumba tu sasa nawaza kunifikilia vibaya naona kama atanisengenya kwanini sijamwachia funguo kama nasafiri
Mwambie mwenyewe bila chenga sisi humu hatumjui
 
Kuna work mate ana mtoto sasa kwao mbali kwaiyo anashinda kwangu Mimi nipo karibu na eneo LA kazi anafika na binti anawaacha kwangu mtoto na binti kiroho safii nawaachiaga funguo ya room wanatumia jiko langu LA gesi kuchemsha chai,maji ya kuoga mtoto pia kila siku, sukari ndo wanategemea yangu iyo iyo work mate, Dada wa kazi jamani ata siku moja waseme tutachangia sukari?

Ikiisha wanasubir nitie nyingin nipo kama nalea familia,sasa hapa Nina kasafari vitu vyote nimeamisha nimeacha chumba tu sasa nawaza kunifikilia vibaya naona kama atanisengenya kwanini sijamwachia funguo kama nasafiri
😂😂Kuna watu hawana haya duuh pole
 
Kama uwezo unao endelea tu kuwasaidia,huyo mtoto mdogo atakuja tu kukukujali tu huko siku za mbeleni,wema hauozi,tenda wema usingoje shukurani,ila usaidie kwa moyo safi bila kinyongo.
 
Back
Top Bottom