Ungepata nafasi ya kuchagua kuzaliwa wapi na race gani, ungechagua hapo ulipo ?

chinga tu wa tandahimba Mtwara karibu na gesi ingependeza zaidi 🐒
 
Mkuu kwanza nani anakupa hiyo fursa ya kuchagua, anza kuboresha maisha yako uwe hicho unachokitamani. Issue ya msingi ni pesa tu ata kama wewe ni nyani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…