Ungependa kiongozi gani aje Jukwaani kutoa majibu na ufafanuzi wa masuala mbalimbali yanayoendelea nchini?

Ungependa kiongozi gani aje Jukwaani kutoa majibu na ufafanuzi wa masuala mbalimbali yanayoendelea nchini?

Habari wadau,

Jamiiforums imekuwa sehemu ya wanachama kushiriki kutoa maoni yao, kuelezea kero zao na kupata ufafanuzi juu ya masuala mbalimbali nchini, nafasi inayowawezesha kufanya maamuzi mkiwa na taarifa sahihi na zenye ubora. Wapo viongozi wachache kama Dkt. Gwajima D ambao wamekuwa wakitoa ufafanuzi mara zote wanapohitajika.

Kama mkipata nafasi ya upendeleo ya kuletewa viongozi kwa siku maalum kwa lengo la kuwahoji na kutolea ufafanuzi wa kero mbalimbali hapa Jukwaani ungependa kiongozi gani awe wa kwanza na kwasababu gani?

View attachment 2910067
Kutokana na hali ya umeme kwasasa,

Nafikiri mkurugenzi wa Tanesco anapaswa kuanza.

Sababu umeme umekuwa kero kubwa.

Fikiria unasimu yako lakini huamini kama ndani ya dk 10 zijazo kama umeme utakuwepo,
Muda wote ni bora uwe kwenye charge.

Wenye biashara zinazotegemea umeme hawawezi ulipa kodi tena kutokaana na hela itokanayo na biashara hiyo.

Kwasasa natambua ukosefu wa umeme ni kama janga la kitaifa.

"juzi nlikuwa nasafiri kwa basi, simu yangu ilikuwa 20% lakini nliendelea na athari za saikolojia huenda hata umeme kwenye basi ungeweza kukatika"
 
Aje mama hangaya mwenyewe atuambie kwanini asitupishe
 
Mimi naomba aje Tundu Lisu na Mbowe huwa ni wasema ukweli kwa vitu vikivyojificha maana serikali yetu sikivu haina majibu ina propaganda tu.
 
Nakubaliana nawe changamoto za hasa Wizara ya Ardhi. Huko mbeleni changamoto kubwa inakuja kuwa migogoro ya ardhi, hivyo ni vyema wahusika wakatujuza mikakati ya kupambana na janga hili lijalo.
Kabisa
Ni janga kubwa ni mimi nshakuwa muhanga wa hiyo migogoro ya ardhi
 
Aje Mama mwenyewe atuambie sababu hasa ya maisha kuwa magumu kupitiliza mtaani. Yaani hela haina kabisa thamani! Halafu mbaya zaidi hata ukiipata, haitulii mkononi; unakuta imekwisha! Shida iko wapi?

Mzunguko wa hela mtaani unakatisha tamaa! Vitu bei juu! Uchumi umerudi mikononi mwa watu wachache!! Hii ni hatari aisee. Mama aangalie vizuri. Nahisi kuna sehemu kunavuja kwenye kapu lake la uchumi.
Doh! hv ngosha si ndo iliosemekana ameharibu mzunguko wa pesa, vyuma vilikaza, leo tena ni mama! ameshaacha kuupiga mwingi na kuifungua nchi?
 
Naomba angekuja Mama mwenyewe maana hao wengine nao wakija kwa maswali yangu watampelekea Mama ni vizuri aje Mama Mwenyenyumba ili aone sehemu zinazovuja..
 
Habari wadau,

Jamiiforums imekuwa sehemu ya wanachama kushiriki kutoa maoni yao, kuelezea kero zao na kupata ufafanuzi juu ya masuala mbalimbali nchini, nafasi inayowawezesha kufanya maamuzi mkiwa na taarifa sahihi na zenye ubora. Wapo viongozi wachache kama Dkt. Gwajima D ambao wamekuwa wakitoa ufafanuzi mara zote wanapohitajika.

Kama mkipata nafasi ya upendeleo ya kuletewa viongozi kwa siku maalum kwa lengo la kuwahoji na kutolea ufafanuzi wa kero mbalimbali hapa Jukwaani ungependa kiongozi gani awe wa kwanza na kwasababu gani?

View attachment 2910067
Kadri watakavyopatikana. Mambo mengi ni shida.
Mimi nataka waziri wa afya na kamishna wa uhamiaji.
 
Kuna mmoja akija nitamwambia tu hana akili basi. Sitakuwa na zaidi ya kuhojiana naye.
 
Habari wadau,

Jamiiforums imekuwa sehemu ya wanachama kushiriki kutoa maoni yao, kuelezea kero zao na kupata ufafanuzi juu ya masuala mbalimbali nchini, nafasi inayowawezesha kufanya maamuzi mkiwa na taarifa sahihi na zenye ubora. Wapo viongozi wachache kama Dkt. Gwajima D ambao wamekuwa wakitoa ufafanuzi mara zote wanapohitajika.

Kama mkipata nafasi ya upendeleo ya kuletewa viongozi kwa siku maalum kwa lengo la kuwahoji na kutolea ufafanuzi wa kero mbalimbali hapa Jukwaani ungependa kiongozi gani awe wa kwanza na kwasababu gani?

View attachment 2910067
Kwangu nisingependakiongozi yeyote majibu na ufafunuzi wa jambo lolote. Nasema hivyo kwa sababu kwa miaka zaidi ya 20 kila mwaka tunapewa majibu yaleyale na ufafanuzi wa kero kubwa zinazotukabili.

Instead ningependa mawaziri watueleze wanatekelza nini kutatua kero zetu kubwa kisector na lini wanatarajia hizi kero zitaisha. Mh Raisi nametegema yeye atupatie ni hatua zipi zinatekeleza kututoa kwenye umasikini na kuboresha elimu yetu.
 
Habari wadau,

Jamiiforums imekuwa sehemu ya wanachama kushiriki kutoa maoni yao, kuelezea kero zao na kupata ufafanuzi juu ya masuala mbalimbali nchini, nafasi inayowawezesha kufanya maamuzi mkiwa na taarifa sahihi na zenye ubora. Wapo viongozi wachache kama Dkt. Gwajima D ambao wamekuwa wakitoa ufafanuzi mara zote wanapohitajika.

Kama mkipata nafasi ya upendeleo ya kuletewa viongozi kwa siku maalum kwa lengo la kuwahoji na kutolea ufafanuzi wa kero mbalimbali hapa Jukwaani ungependa kiongozi gani awe wa kwanza na kwasababu gani?

View attachment 2910067
Nishati
Fedha
Usafirishaji
 
Habari wadau,

Jamiiforums imekuwa sehemu ya wanachama kushiriki kutoa maoni yao, kuelezea kero zao na kupata ufafanuzi juu ya masuala mbalimbali nchini, nafasi inayowawezesha kufanya maamuzi mkiwa na taarifa sahihi na zenye ubora. Wapo viongozi wachache kama Dkt. Gwajima D ambao wamekuwa wakitoa ufafanuzi mara zote wanapohitajika.

Kama mkipata nafasi ya upendeleo ya kuletewa viongozi kwa siku maalum kwa lengo la kuwahoji na kutolea ufafanuzi wa kero mbalimbali hapa Jukwaani ungependa kiongozi gani awe wa kwanza na kwasababu gani?

View attachment 2910067
Mleteni Mh. Rais Samia.
 
Doh! hv ngosha si ndo iliosemekana ameharibu mzunguko wa pesa, vyuma vilikaza, leo tena ni mama! ameshaacha kuupiga mwingi na kuifungua nchi?
Watawala wa ccm wote ni 🚮. Usifikiri mimi ni mtu wa kusifia ujinga na upuuzi.
 
Back
Top Bottom