Kwa hiyo unaandika maneno yenye ukakasi huko pm mkuu?π€£π€£Jana nimemtumia mtu neno la tusi pm ghafla ikajifuta ikaja nyota
Nani alifuta sasa!?π
Sijaandika matusi pm ni keyboard ilikoseaπ€£Kwa hiyo unaandika maneno yenye ukakasi huko pm mkuu?π€£π€£
Nadhani hiyo inakuja by default, kuna maneno wameyawekea screening, hasa matusi.
Hayo ni matusi tu hakuna namna, wakikuchefua ubawaendea pm kwa fujo eenh!!π€£π€£Sijaandika matusi pm ni keyboard ilikoseaπ€£
Kuna matusi mabaya na mazuri unajua!πHayo ni matusi tu hakuna namna, wakikuchefua ubawaendea pm kwa fujo eenh!!π€£π€£
Itabidi unitajie hayo mazuri tuone unachosema ni kweli au niaje!!Kuna matusi mabaya na mazuri unajua!π
Usijali kabisa!Itabidi unitajie hayo mazuri tuone unachosema ni kweli au niaje!!
Jamii Forums ni moja ya kitu cha thamani sana kama utakuwa na matumizi sahihi. Naandika hivi kuna siku nita kutag tena. Na ishu ya kusema nachatig nini PM hiyo haijalishi kwa sababu nikiwa na interest ya Comment au thread fulani nitamfuata aliyeandika ili kuanza process za kutafuta mawasiliano zaidi. Na kuna member wengine hawezi akakupa mawasiliano binafsi siku hiyo hiyo inaweza chukua hata miezi mitatu. JamiiForums ni mgodi na una kila kitu ni wewe tu utachagua cha kuchukua.Kwahiyo unataka wakupe?! π€£π€£π€£
Kwanza kaka Manyanza piem unachatigi vitu gani mpk unaogopa..?! π
Voice note huwa inachangia mazungumzo ya umbeya ibaki hivihivi tu. Sema kwenye PM ndio Mods wazibitiwe wasiwe na access. πNaunga mkono hoja waweke na voice note π€£
π€£π€£π€£π€£ Thubutuu!!!Jamii Forums ni moja ya kitu cha thamani sana kama utakuwa na matumizi sahihi. Naandika hivi kuna siku nita kutag tena. Na ishu ya kusema nachatig nini PM hiyo haijalishi kwa sababu nikiwa na interest ya Comment au thread fulani nitamfuata aliyeandika ili kuanza process za kutafuta mawasiliano zaidi. Na kuna member wengine hawezi akakupa mawasiliano binafsi siku hiyo hiyo inaweza chukua hata miezi mitatu. JamiiForums ni mgodi na una kila kitu ni wewe tu utachagua cha kuchukua.
Njia rahisi ya kupata mawasiliano na wajuba wa JF ni kuanzisha ID yenye Jina la kike. Jamaa watagunguka inbox na kutoa namba zao za simu na kufichua ID zao.Jamii Forums ni moja ya kitu cha thamani sana kama utakuwa na matumizi sahihi. Naandika hivi kuna siku nita kutag tena. Na ishu ya kusema nachatig nini PM hiyo haijalishi kwa sababu nikiwa na interest ya Comment au thread fulani nitamfuata aliyeandika ili kuanza process za kutafuta mawasiliano zaidi. Na kuna member wengine hawezi akakupa mawasiliano binafsi siku hiyo hiyo inaweza chukua hata miezi mitatu. JamiiForums ni mgodi na una kila kitu ni wewe tu utachagua cha kuchukua.
π€£π€£π€£ Watz na udaku ni pete na kidole, ndiomana 3 online haitoisha ngβoVoice note huwa inachangia mazungumzo ya umbeya ibaki hivihivi tu. Sema kwenye PM ndio Mods wazibitiwe wasiwe na access. π
Yaani natamani tukiwa tunapiga threesome PM na huyo watatu nimjue ni nani basiii π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Watz na udaku ni pete na kidole, ndiomana 3 online haitoisha ngβo
Na wakipata hapa wanafuta uzi subiri uone
Ishu hapa ni kwanini ndani ya PM mnajikuta mpo watatu? Huyo Watatu ni nani???Njia rahisi ya kupata mawasiliano na wajuba wa JF ni kuanzisha ID yenye Jina la kike. Jamaa watagunguka inbox na kutoa namba zao za simu na kufichua ID zao.
π€£ π€£ π€£ π€£Kiranga Natamani nimuone. Sijui jamaa ni kafupi au mrefu maana sio kwa ubishi huo. Natamani sana nimeuone anaonekanaje? Sijui ni mnene au mwembamba. Lakini nahisi ni kafupi kwa maana sio kwa ubishi na ujuaji huu. Naomba unitumie picha yako PM Kiranga.
Soon nitakuja na testimony. Ni sehemu ya kusocialize na vilevile ya kukusanya mawazo na kuyafanyia kaziπ€£π€£π€£π€£ Thubutuu!!!
Wazee wa PM mna mambo! πππ kumbe huwaga mambo yako hivyo! πKuna namna siwaelewi, unakuta mpo wawili mnachat mara kitufe kinaonyesha "online 3", sasa unajiuliza huyu wa tatu ni nani.
Kama sio wao waje waseme huyu wa tatu ni nani wakati mpo wawili mnachat?
Mzuka wa kutongoza ulikata ghaflaπ€£π€£π€£π€ͺ
Tunatongoza balaaπ€£π€£π€£Wazee wa PM mna mambo! πππ kumbe huwaga mambo yako hivyo! π