Ungependa kukutana na hawa JF members?

Kwahiyo unataka wakupe?! 🀣🀣🀣
Kwanza kaka Manyanza piem unachatigi vitu gani mpk unaogopa..?! 😜
Jamii Forums ni moja ya kitu cha thamani sana kama utakuwa na matumizi sahihi. Naandika hivi kuna siku nita kutag tena. Na ishu ya kusema nachatig nini PM hiyo haijalishi kwa sababu nikiwa na interest ya Comment au thread fulani nitamfuata aliyeandika ili kuanza process za kutafuta mawasiliano zaidi. Na kuna member wengine hawezi akakupa mawasiliano binafsi siku hiyo hiyo inaweza chukua hata miezi mitatu. JamiiForums ni mgodi na una kila kitu ni wewe tu utachagua cha kuchukua.
 
🀣🀣🀣🀣 Thubutuu!!!
 
Njia rahisi ya kupata mawasiliano na wajuba wa JF ni kuanzisha ID yenye Jina la kike. Jamaa watagunguka inbox na kutoa namba zao za simu na kufichua ID zao.
 
Voice note huwa inachangia mazungumzo ya umbeya ibaki hivihivi tu. Sema kwenye PM ndio Mods wazibitiwe wasiwe na access. πŸ™
🀣🀣🀣 Watz na udaku ni pete na kidole, ndiomana 3 online haitoisha ng’o
Na wakipita hapa wanafuta uzi subiri uone
 
Njia rahisi ya kupata mawasiliano na wajuba wa JF ni kuanzisha ID yenye Jina la kike. Jamaa watagunguka inbox na kutoa namba zao za simu na kufichua ID zao.
Ishu hapa ni kwanini ndani ya PM mnajikuta mpo watatu? Huyo Watatu ni nani???
Mkuu Maxence Melo waambie hao wafanyakazi wako wawe na maadili ya kazi yao.
 
🀣 🀣 🀣 🀣
 
Wazee wa PM mna mambo! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumbe huwaga mambo yako hivyo! πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…